Musoma mtabadilika lini?

Musoma mtabadilika lini?

Musoma hakufai na ndo kunatoka watu wabishi zaidi na wasiopenda kubishishiwa kwa facts, ubishi wa arsenal vs man u ,unaweza kukupotezea viungo vya mwili. Nimesema na hawana la kunifanya kwa sababu ni watan wangu. [HASHTAG]#Adui[/HASHTAG] namba moja wa Mkurya ni mmasai ,hii hufundishwa kabisa
Acha ushamba musoma ya wajita...

Wakurya kwetu Tarime mura
 
KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !
Kuna jamaa yangu yuko huko ulioyasema yote alinisimulia halafu mbaya zaidi wambeya ni wanaume
 
Siku zingine uwe na adabu na tambua ya kwamba huo Mkoa ndiyo umekuletea Wewe na Ukoo wako wote Uhuru unaotamba nao sasa na usisahau kwamba bila ' Wanamume ' wa kutoka Mkoani Mara ( Musoma ) ambao wanapatikana kwa wingi mno katika Vikosi vyote vya Ulinzi na Usalama leo hii usingekuwa unajivunia hii amani na huu utulivu uliopo. Tena nakuomba utuombe radhi haraka sana kwani hizo Sifa zote mbaya ulizotutajia hapo hazipo Mkoani Mara ( Musoma ) na nadhani kuna ' Kitu ' unakitafuta kutoka kwa Wenyeji Sisi wa Mara ( Musoma ) ambacho utakipata muda si mrefu. Yaani katika Mikoa yote 31 ya sasa ya Tanzania umeuona tu Mkoa wa Mara ndiyo una hayo matatizo? Kama Wewe ni Mtani wetu Mhaya au Muha au Mnyiramba na mwenzake Mnyaturu au Mrangi sawa ' madongo ' yako tumeyakubali ila kama hutoki katika hayo Makabila tajwa ya Watani zetu wakubwa na halisia nakupa dakika 5 tu kutoka sasa utuombe msamaha kwa Kutukashifu na Kutudhalilisha.
Mulisya wewe Wa Ntarahamwe uliyetoroka kwenye makambi ya wakimbizi. Jionee fahari unya Rwanda wako, acha kuzuga na kujidai wewe ni Mkurya
 
Hahaha sidhani kama mleta mada yuko normal. Nahisi ana mkia nyuma ndio maana aliona wanamuonea wivu. Haikuwa kawaida musoma.
Kwa mtu normal sidhani kuna jambo lisilopatikani popote humu duniani.
Utuletee mrejesho wa huko uliko sasa.
 
Hahahaa, Ogopa sana hao watu, wanatisha ila tabia za kike nyingi.
 
Musoma hakufai na ndo kunatoka watu wabishi zaidi na wasiopenda kubishishiwa kwa facts, ubishi wa arsenal vs man u ,unaweza kukupotezea viungo vya mwili. Nimesema na hawana la kunifanya kwa sababu ni watan wangu. [HASHTAG]#Adui[/HASHTAG] namba moja wa Mkurya ni mmasai ,hii hufundishwa kabisa
Kiufupi ukivuka mto mara tu! Kwenda upande ule mpaka sirari huwezi kuta mmasai eti! Anafuga kwanza sijawahi ona masai Tarime Sijui shida ni nini?
 
Mkuu hapa umesemea watu wa mara na makabila yote yanayopatikana humo ama ni wajita pekee!! maana naona sifa kalibia zote ni za wajita!!!

Hata hivo kuna sms waga zinatembea kwenye ma-groups na simu yanayoelezea sehemu, nchi, mikoa na hata wilaya husika sasa yawezekana na wewe umeona sehemu bila kufanya utafiti ukaruka nayo!!
Hii itakuwa inawasu wajita maana Musoma Ndiyo kwao wakurya kwao ni tarime na vitongoji vyake
 
Back
Top Bottom