Musoma mtabadilika lini?

wenye hizo tabia ni wajita,wakurya hawana hayo mambo ya hovyo kwanza huwa hawaongei ongei sio wanaume wala wanawake
 


Ukichepuka kwenda kukojoa porini au uchochoroni, wanakusema eti unajifanya kijana wa Dar usiye na haibu kupiga punyeto popote pale.
 
Nadhani niseme tu kua mkoa wa mara ikiwemo musoma haina desturi ya umbea umeacha mikoa mingi sana
Any way yawezekana umeamua kupiga madongo mji wetu....!

ACHA UMBEA WA MITANDAONI UTAVALISHWA KHANGA KIJANA WA KIUME
 
Cyprian Musiba ni miongoni mwa watu wanaosadifu tabia za wanaume wa Musoma, tabia za majungu Na umbea
 
Nadhani niseme tu kua mkoa wa mara ikiwemo musoma haina desturi ya umbea umeacha mikoa mingi sana
Any way yawezekana umeamua kupiga madongo mji wetu....!

ACHA UMBEA WA MITANDAONI UTAVALISHWA KHANGA KIJANA WA KIUME
Usiutetee tena wanaume ndio wajungulikaji wakubwa
 
Uko sawa kbs, nimeishi huko nawafaham vzr wenyeji wake.
 
Wivu tu kwa sababu waziri mkuu yupo musoma
 
Yaani karne hii bado tu pana watu wanawaza NEGATIVELY kama hivi .... Don't you have something POSITIVE & PRODUCTIVE to do instead of WASTING YOUR PRECIOUS TIME ....
Kama manabii walisema wewe Ni nani usisemwe....usiogope kusemwa chapa kazi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…