MOI JOHN
JF-Expert Member
- Aug 15, 2013
- 1,735
- 1,082
Oyo nowakugecha mura.Muraaa mgeche huyo nyakilaya !
Huwezi kutudharirisha hapa jukwaani namna hii,
Angu omlisha !
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Oyo nowakugecha mura.Muraaa mgeche huyo nyakilaya !
Huwezi kutudharirisha hapa jukwaani namna hii,
Angu omlisha !
Moro hakuna wezi?Kule ni kwetu lakini nilipakimbia baada ya kununua TV wakaja kuichukua usiku na mapanga nikacharangwa kwa sana hakufai utafutaji kwa sasa niko moro full amani
Sasa kwa mkurya hlo ni tusi kubwaGovi
Sio tarime tu bali ni mkoa wa mara mzima sababu waikizu walikuwa wakiwachoma mishale na kuchukua ng'ombe zao so mpaka leo huwezi wakuta mkoa wa mara wakifuga labda uwakute mjini wakiuza dawa tuKiufupi ukivuka mto mara tu! Kwenda upande ule mpaka sirari huwezi kuta mmasai eti! Anafuga kwanza sijawahi ona masai Tarime Sijui shida ni nini?
Hizo si ni tabia za wajita??KARIBU MUSOMA MJI WENYE UTAJIRI WA MAJUNGU !!!
Mji Wenye Wivu
Mji Wenye Baraka Ya Uongo
Kijiji Chenye Kiu Ya Umbea
Kijiji Cha Unafiki!
Ukipata Freemason
Ukifulia Wanakucheka
Ukiwaomba Hawakujui,
Ukinenepa Ana Mimba
Ukikonda Ana Ngoma,
Ukiondoka kwenda kujitafutia kakimbia.
Ukikaa tu hana raman
Ukisimama Na mtu Dk 5 mnatongozana Hata Kama Ni Kaka Yako
Ukivaa Vizuri Sharo!
UNABISHA?? HEBU WATUMIE WAKAZI WA mkoa wa mara WAKUTHIBITISHIE !
Wapo ila hawahangaiki na TV wala Deki au karedio wanapiga Vitu vya maana ambavyo Mimi sinaMoro hakuna wezi?
Hiyo ya 'karibu musoma' ndio imekuletea matatizo. Ulipenda ukaribishwe, jambo ambalo huko halipo, fika endelea na mambo yako. Mpakani mwa Mwanza na Mara ulishindwa kukisoma kibao kilichoandikwa 'SASA UNAINGIA MKOA WA MARA' ?Hizo si ni tabia za wajita??