Musoma technical alumni

Musoma technical alumni

V Chief

Member
Joined
Aug 20, 2023
Posts
78
Reaction score
145
Wanatech karibuni kwenye uzi wetu mpya ambao utakuwezesha ku'share stori ama tukio lolote unalolikumbuka kipindi unasoma pale tech.
Welcome Technical Boys.
Screenshot_20240909-185140.jpg
 
Wanatech karibuni kwenye uzi wetu mpya ambao utakuwezesha ku'share stori ama tukio lolote unalolikumbuka kipindi unasoma pale tech.
Welcome Technical Boys.
Faza alisoma hapo, alinipa stori enzi hizo panaitwa Musoma Alliance kipindi hiko cha Ujamaa wa chama kimoja, hakika ni shule nzuri sana na yenye historia kubwa sana


Mojawapo ya kitu cha kuvutia alichonisimulia ni kuhusiana na kupenda kwao kuogelea,

walikuwa wanachomoka hapo skuli kisha wanaenda ziwani kisha wanaogelea kutokea upande mmoja mpaka kule wa pili (hiyo sehemu aliyonionesha ilikuwa mbali kweli ila ndio hivyo, natumai waliosoma miaka hiyo ya 70's watatupa mrejesho namna ilivyokuwa zama hizo)
 
Faza alisoma hapo, alinipa stori enzi hizo panaitwa Musoma Alliance kipindi hiko cha Ujamaa wa chama kimoja, hakika ni shule nzuri sana na yenye historia kubwa sana


Mojawapo ya kitu cha kuvutia alichonisimulia ni kuhusiana na kupenda kwao kuogelea,

walikuwa wanachomoka hapo skuli kisha wanaenda ziwani kisha wanaogelea kutokea upande mmoja mpaka kule wa pili (hiyo sehemu aliyonionesha ilikuwa mbali kweli ila ndio hivyo, natumai waliosoma miaka hiyo ya 70's watatupa mrejesho namna ilivyokuwa zama hizo)
Hakukusimulia juu ya sehemu iitwayo Mwigobero?
 
Tupo pamoja miaka mingi sana imepita walimu nawakumbuka kwa sura majina yameshanipotea
 
Faza alisoma hapo, alinipa stori enzi hizo panaitwa Musoma Alliance kipindi hiko cha Ujamaa wa chama kimoja, hakika ni shule nzuri sana na yenye historia kubwa sana


Mojawapo ya kitu cha kuvutia alichonisimulia ni kuhusiana na kupenda kwao kuogelea,

walikuwa wanachomoka hapo skuli kisha wanaenda ziwani kisha wanaogelea kutokea upande mmoja mpaka kule wa pili (hiyo sehemu aliyonionesha ilikuwa mbali kweli ila ndio hivyo, natumai waliosoma miaka hiyo ya 70's watatupa mrejesho namna ilivyokuwa zama hizo)Ya
Nyarusurya hapo🔥
 
Hakukusimulia juu ya sehemu iitwayo Mwigobero?
Hii kwa kumbukumbu zangu hapana, ila mitaa michache ya hapa town ndio na kule ambako nafikiri ni Kariakoo ya sasa ijapokuwa enzi hizo naona yalikuwa mapori tu au pengine vijumba kadhaa vya wavuvi


Kuhusu Mwigobero, nilikuja kuijua mi mwenyewe kwenye seleka zangu za ujana🤣, dah tumeishi sana pande hizo na wavuvi japo sie tulikuwa hatuvui ila tulikuwa tunavesha sana

Musoma sehemu moja poa sana, watu wengi wana negative mindset kuhusu Mkoa wa Mara na hawajawahi hata kufika, huwa naombea wafike ili waone namna palivyo peace tofauti na wanavyodhani.
 
Wanatech karibuni kwenye uzi wetu mpya ambao utakuwezesha ku'share stori ama tukio lolote unalolikumbuka kipindi unasoma pale tech.
Welcome Technical Boys.
Tupo mkuu, Dobeye aliondoka pale bila kuaga. Nakumbuka Kuna siku nilikutana nae kigoma mjini nikamsalimia baada ya salamu akaniuliza unasoma/umesoma shule Gani nikamwambia musoma tech aise alifura balaa.
 
Enzi hizo Jamhuri ya Czechoslovakia au Jamhuri ya watu wa Czech ikiwa kwenye ubora mkubwa kisoka na washambuliaji wao kina Jan Koller, Milan Baros na mtukutu Pavel Nedved na sisi tukawa tunajiita Jamhuri ya Watu wa Tech, ilifika hatua ukikutana na mtu mtaani ama popote akikuuliza we unasoma shule gani basi jibu ni jepesi tu "JAMHURI YA WATU WA TECH" daaaaah kitambo sana
 
Mwaka 2008 tuliliamsha pale Musoma Tech baada ya mmoja wa wetu kuchimwa bisibisi na kijana wa mtaani

Fujo iliianza saa mbili hadi usiku wa manane wanafunzi na raia

Kesho yake tukagoma kula siku nzima na kesho yake tena

Akaja mkuu wa mkoa tukafukuzwa shule nzima nzima miezi mitatu

Dobeye ndo alikuwa mkuu wa shule
 
Mwaka 2008 tuliliamsha pale Musoma Tech baada ya mmoja wa wetu kuchimwa bisibisi na kijana wa mtaani

Fujo iliianza saa mbili hadi usiku wa manane wanafunzi na raia

Kesho yake tukagoma kula siku nzima na kesho yake tena

Akaja mkuu wa mkoa tukafukuzwa shule nzima nzima miezi mitatu

Dobeye ndo alikuwa mkuu wa shule
Baada ya hapo mkasamehewa ama ndo kila mtu alitafuta shule yake
 
Baada ya hapo mkasamehewa ama ndo kila mtu alitafuta shule yake
Tulirudishwa baada ya miez 3 kupitia tangazo radioni

Kila mmoja alitakiwa kulipa 60k

Pesa zenyewe wakagawana waalimu hadi wakaanzisha mabifu wao kwa wao
 
Back
Top Bottom