Musoma Vijijini Waendelea Kutatua Matatizo Yanayowakabili Wanafunzi wa Sekondari za Kata

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MUSOMA VIJIJINI WAENDELEA KUTATUA MATATIZO YANAYOWAKABILI WANAFUNZI WA SEKONDARI ZA KATA

* Jimbo la Musoma Vijijini lina Kata 21 zenye Vijiji 68 na Vitongoji 374

* Jimbo lina Sekondari za Kata 25 na 2 za Binafsi. Kwa sasa ujenzi wa sekondari mpya 4 unaendelea kwenye Vijiji vya Nyasaungu, Muhoji, Wanyere na Kisiwani Rukuba.

Jana, Mbunge wa Jimbo hilo, Prof Sospeter Muhongo, alitembelea Kijiji cha Muhoji kwa malengo mawili: (i) kusikiliza na kutatua kero za wanakijiji, na (ii) kukagua ujenzi wa sekondari mpya iliyopangwa kufunguliwa mwakani, Januari 2024.

Tafadhali sikiliza VIDEO/CLIP zilizowekwa hapa - Wananchi wa Kijiji cha Muhoji, Kata ya Bungwema, wenye furaha tele wameanza ujenzi wa Sekondari ya pili ndani ya Kata yao

Ofisi ya Mbunge
Jimbo la Musoma Vijijini
www.musomavijijini.or.tz

Tarehe:
Jumanne, 6.6.2023

Your browser is not able to display this video.

Your browser is not able to display this video.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…