SAYVILLE
JF-Expert Member
- Mar 25, 2010
- 7,895
- 12,975
Mchezaji wa Yanga Kennedy Musonda leo ametunukiwa medali aliyopewa na mtoto wa kutoka huko Spain aitwaye Lucas Gomez. Medali hiyo ilikabidhiwa kwa Musonda na Balozi wa Spain kwa niaba ya mtoto huyo.
Musonda alipata zawadi hiyo kutokana na kuwa man of the match wakati akichezea club yake ya zamani ya Power Dynamos ya Zambia, ila cha ajabu club yake ya sasa ya Yanga Afulika ikateka shughuli hiyo ili kujitafutia kiki.
Haijajulikana huyo mtoto wa miaka 8 ni nani hasa au ana matatizo gani hadi medali yake kuwepa uzito kiasi hicho ila inaonyesha alipendezwa na uchezaji wa Musonda hadi akamchagua kuwa man of the match wakati anacheza huko Zambia na hivyo kumtumia medali hiyo.
Musonda alipata zawadi hiyo kutokana na kuwa man of the match wakati akichezea club yake ya zamani ya Power Dynamos ya Zambia, ila cha ajabu club yake ya sasa ya Yanga Afulika ikateka shughuli hiyo ili kujitafutia kiki.
Haijajulikana huyo mtoto wa miaka 8 ni nani hasa au ana matatizo gani hadi medali yake kuwepa uzito kiasi hicho ila inaonyesha alipendezwa na uchezaji wa Musonda hadi akamchagua kuwa man of the match wakati anacheza huko Zambia na hivyo kumtumia medali hiyo.