joseph1989
JF-Expert Member
- May 4, 2014
- 17,420
- 35,765
Mmefurahi kupiga picha na mzungu na timu yenu inayo tembelea tairi moja la CHAMA.Kyombo tumemuona jana kawafunga wazungu haya na wewe tutajie mchezaji wa utopolo aliewafunga wazungu mwaka huu 2023
Potelea mbaliMmefurahi kupiga picha na mzungu na timu yenu inayo tembelea tairi moja la CHAMA.
Wewe umenenaKinachofanya Wazungu wapige hatua kubwa kwenye kila wanachokifanya ni kwa sababu watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama mleta mada ni wachache.
Si hatuna time na mzungu hata Kinondoni wapo kibao, tunaweza kuwakusanya na kuwafunga na ww ukija na kubomoa.Potelea mbali
Nb naomba unitajie chezaji la utopolo aliewafunga wazungu bao 2
Acha CCM iendelee tu kutawala mkuu.Wapiga kura wenyewe ndo wana akili za za mleta madaHata Mayele the king mlisema hivihivi, akaja Azizi 'master' Key nako mlisema hivihivi, umbumbumbu ni tabia hamuwezi kuacha, iko siku utaikana kauli yako hii wewe kolo wa dunduka.
Aziz K ana goal 7 paka Sasa, Goal 4 ligi ya Nbc na goal 3 mashindano ya caf. Pia ana assist 5, 3 kwenye ligi ya Nbc 2 michuano ya cafMagoli mawili mpaka sasa
Assist ngapi anazo ukilinganisha na ile milioni 400 mliomsajilia?
Kama ni rahisi mngeqakusanya pale avic town mngewapa mapumba na unga halafu mngecheza nao mbona easy tuSi hatuna time na mzungu hata Kinondoni wapo kibao, tunaweza kuwakusanya na kuwafunga na ww ukija na kubomoa.
Mwanaume kua na kiherehere ni hatari kwa afyaSasa makelele yote ya kuwa nchi itatingishika ndio yule Musonda?
Ntibazonkiza kacheza mechi moja tu kaondoka na mpira na hao mbeya city wajipange kweli kweli j5, otherwise watakufa 8, msiwe mnawapa sifa wachezaji wakati hamna kitu.
Ni afadhali ya Makambo au Sogne kuliko Musonda.
Sent from my SM-F916B using JamiiForums mobile app
We angalia Msonda wanahesabu michezo. Ukijatahamani zimebaki mechi 2 umeachwa points 6. [emoji119]Ntibanzokiza kacheza mechi ngapi..?? Ina maana ni mgeni NBC League kama Musonda au..??
Je kwa ile milioni 400 mliomsajilia kama manvyosema anastahili kudeliver hicho ulichokiandika hapa? Mbona anashindwa na ntibanzonkinza kwa kila kitu magoli+assistAziz K ana goal 7 paka Sasa, Goal 4 ligi ya Nbc na goal 3 mashindano ya caf. Pia ana assist 5, 3 kwenye ligi ya Nbc 2 michuano ya caf
Halafu hebu jielimishe kwanza kuhusu mpira wa miguu maana umekuwa ukibishana kama mtu asiyejua chochote kuhusu football[emoji848][emoji848]
Alimfanyia kitu mbaya Manula kambinua mpaka katoa hewa chafu siku ileHebu tuwekee statistic za aziz key akiwa utopoloni tufunge mdomo
Na mabegi ya Ngada.Kama ni rahisi mngeqakusanya pale avic town mngewapa mapumba na unga halafu mngecheza nao mbona easy tu
Yeah na mafuta ya nazi kama kwenye kile kiklip chenu pendwa mlichokitoaNa mabegi ya Ngada.
Wakati akitoa hewa chafu ulikuwepo? au wewe ni tabia zako kutoa hewa chafu hovyo unasingizia wenzakoAlimfanyia kitu mbaya Manula kambinua mpaka katoa hewa chafu siku ile
Endeleeni kutafta takwimu kama karani wa sensa tutakutana MayHebu tuwekee statistic za aziz key akiwa utopoloni tufunge mdomo
Hawa watu dizaini hii wataturudisha utumwani nyoko hawa.Acha CCM iendelee tu kutawala mkuu.Wapiga kura wenyewe ndo wana akili za za mleta mada
🤣Hawa watu dizaini hii wataturudisha utumwani nyoko hawa.
Asante mkuu kwa kumkata shombo kolo huyo.[emoji850]View attachment 2483989
Leo hii takwimu sio kitu tena kwenu?Endeleeni kutafta takwimu kama karani wa sensa tutakutana May