Musonda hamna mchezaji mle, promo nyingi uwezo kisoda, heri ya Makambo na Sogne

Je kwa ile milioni 400 mliomsajilia kama manvyosema anastahili kudeliver hicho ulichokiandika hapa? Mbona anashindwa na ntibanzonkinza kwa kila kitu magoli+assist
Kwa sasa tupo nusu ya msimu bado kuna mechi sita za makundi shirikisho pia Kuna FA kwa hizo takwimu alizonazo paka sasa tayari ame deliver kwa 80%.

Sijui una lingine? Hebu jielimishe kidogo maana kichwani upo mweupe sana hauna unalojua zaidi ya ubishi
 
Nakupa saido vs aziza ki
 
Eti Simba imesajili reject..mchezaji game ya kwanza kaondoka na mpira..wao hao wao shida tupu..ngoja iendelee kuonyesha tuone panapovuja.
 
Kinachofanya Wazungu wapige hatua kubwa kwenye kila wanachokifanya ni kwa sababu watu wenye uwezo mdogo wa kufikiri kama mleta mada ni wachache.
Nakubaliana na wewe kabisa, yaani mtu anakurupuka huko anakuja hapa kulinganisha mchezaji aliyecheza NBC misimu mitatu na mchezaji mgeni kabisa ambaye Hana hata siku tatu.
 
Sasa makelele yote ya kuwa nchi itatingishika ndio yule Musonda?

Ntibazonkiza kacheza mechi moja tu kaondoka na mpira na hao mbeya city wajipange kweli kweli j5, otherwise watakufa 8...
umelewa maandazi wewe
 
Sasa makelele yote ya kuwa nchi itatingishika ndio yule Musonda...
We jamaa ni kilaza haswaa tena ni punga wa kutupwa kabisa, uyo Ntibazonkiza unayemfananisha na Musonda ana muda gani kwenye ligi ya Tanzania? Na musonda ana muda gani? Unafikiri mpira ni maji ya ugali yanachemka hapohapo na kusonga?

Labda nikupe elimu kidogo pamoja na kwamba ujielewi, kuna mchezaji anaweza kuingia kwenye mfumo haraka na kuyazoea mazingira ya ugenini haraka na kuna mchezaji inaweza kumchukua muda kuingia kwenye mfumo na kuzoea mazingira ya ugenini, leo hii Musonda kasajiliwa juzi na amefanya mazoezi na wenzake siku moja unaanza kubwata kama mtu asiyeujua mpira?

Una matatizo gani, Kina lomalisa mliwaponda sana lakini vipi sasa hivi mnalo la kuongea? Uyo Ntibazonkiza unayemsema ana misimu karibia minne kwenye ligi ya Tanzania anaijua nje ndani unamlinganisha na mgeni aliyesajiliwa juzi? Acha utaahira wewe mbumbumbu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…