wakati huo ilikuwa ikiitwaje kabla ya kuitwa msumbiji
mmmh!...umesema?1000 mil dollar qn
Mmmh! ngumu kumesa hii!
mmmh!...umesema?
ndo ilikuwa inaitwa hivyo...!!umeuliza swali zuri
kabla haijaitwa msumbiji ilikua inaitwaje
Mussa Al Bikra!
Huyu shekh Mussa Al Bique alikuwa mmoja katika machifu au viongozi katika eneo la Kilwa Kisiwani mkoani Lindi kabla ya kuondolewa na Sultan Ali Hasan bin Suleiman na kukimbilia Msumbiji(MOZAMBIQUE).
Wazungu wa kireno walipofika Msumbiji wakashindwa kulitaja jina lake kama lilivyo badala ya Musso Bique wakamuita Moza mbique na ikawa ndio asili ya jina la taifa la Msumbiji.
Infact muanzilishi wa taifa la msumbiji alikuwa Mtanzania shekh Mussa Al Bique.
Hiyo ni miongoni mwa historia utakayo pewa ukifika Kilwa kisiwani moja katika maeneo ya kihistoria hapa Tanzania.
sijaridhika na jibu lako!Maeneo meng yalikuwj hayajagawanywa kabla ya kuja wakoloni na mengine hayakuwa na watu kabisa. Nahisi kwamba huyu Musa ndio muanzilishi wa makazi ya kwanza enen hilo.
Maeneo meng yalikuwj hayajagawanywa kabla ya kuja wakoloni na mengine hayakuwa na watu kabisa. Nahisi kwamba huyu Musa ndio muanzilishi wa makazi ya kwanza enen hilo.
Comoro nayo ni Qamar (mwezi) juzu`u qamar.
Portugal nayo ni burtuqaal (chungwa) ardhu burtqaal.
Siberia nayo ni Sabriyah (subra) kunahitaji uvumilivu wa hali ya juu kuishi huko kutokana na baridi.
Sofala ni Yusuf Alliy.
kuna Hawaii, honolulu n.k
Haters gonna love this...
ahsante mkuu nimejaribu kutafuta nakutana na statement hii... what is now Mozambique... hii inaonesha hata waliandika hawajui ilikuwa inaitwaje...Mkuu Zamaulid mm sio mwanahistoria nimejaribu kuandika kile nilichoambiwa katika tour yangu maeneo hayo ya Kilwa kisiwani. Pia nimejaribu kuisoma historia ya Msumbiji hilo jina sijaliona, may b tuwasubirie wenye kujua.
it's true.Nimepitia vyanzo mbalimbali nimeona.Ahsante mleta uzi kwa kunipa kitu kipya.Ila mijamaa mipumbavu haitushukuru.Tumeisaidia sana inauma sana kutwa kusikia jinsi inavyonyanyasa wabongo wanaokwenda huko kihalali.Halafu sisi tunainyenyekea mijitu isiyo na utu wala shukurani na isiojali histora yetu na mchango wetu katika kuwafikisha hapo walipo mpaka wanadiriki kujiita kinchi.Natamani kama siku watuchokoze kinchi ili tuwalopize kwa yotewanayowafanyia watanzania wenzetu huko.Halafu ndio watatujua kuwa sie ni wakimya tunaoweza kufanya umafia kuliko wanaouonesha wao kwa raia wetu.Raisi kama atapitia hapa naomba aombe maelezo ya kina kwa balozi wetu ambaye wabongo huko wanamuona hawasaidii.Nashauri aviliwe na apewe atakayeweza kuwasaidia wabongo huko ughaibuni kwa hao wasio na utu kwa binadamu na jirani zao km sisi wabongo.