Mussa Al Bique: Baba wa Taifa la Msumbiji

Mussa Al Bique: Baba wa Taifa la Msumbiji

ahsante mkuu nimejaribu kutafuta nakutana na statement hii... what is now Mozambique... hii inaonesha hata waliandika hawajui ilikuwa inaitwaje...

Tupo pamoja mkuu.
 
Nimejaribu kutafuta nimepata hii.......ngoja nichimbue nijue ilikuwa inaitwaje mwanzo.......
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    61.2 KB · Views: 428
Halafu nikapata na hii..........kwa msaada wa wikipedia.......
 

Attachments

  • image.jpg
    image.jpg
    50.5 KB · Views: 391
Nimejaribu kutafuta nimepata hii.......ngoja nichimbue nijue ilikuwa inaitwaje mwanzo.......

Nimeisoma mkuu sema sikuona chochote kinachoelezea kuhusu jina la asili la eneo hilo zaidi ya kwamba imepata jina lake kutoka kwa huyo Sultan wa kiarabu aliekuwa Kilwa Kisiwan na baadae akafukuzwa na Sultan Al Hasan Bin Suleiman.
 
Nimeisoma mkuu sema sikuona chochote kinachoelezea kuhusu jina la asili la eneo hilo zaidi ya kwamba imepata jina lake kutoka kwa huyo Sultan wa kiarabu aliekuwa Kilwa Kisiwan na baadae akafukuzwa na Sultan Al Hasan Bin Suleiman.

Nimeona kitu kama.........Land of Sofa.......
 
baba wa taifa ni nani? mtu aliye na jina lililopewa nchi? haya baba wa Tanganyika nani?

muanzilishi wa msumbiji alitoka kilwa?? tuache utani msumbiji imeanza kukaliwa lini hata mwanzilishi wa taifa awe mtanzania?
jina sio uanzilishi wa taifa bwana na huyo mtu alikuwa maarufu kwakuwa alikuwa trader,labda kama history ya Mozambique inaanzia 10c AD. pili huyo jamaa ni arab blood lined sio wa ndani hana ungindo wala ukilwa......sio mbaya ukiuliza alifukuzwa kisa nini toka kilwa kisha ukatufahamisha......

I appreciate nilichojifunza leo.....sikujua chanzo cha hiki kitu
 
Kumbe Jf ina maimamu cku hizi? That mean kuna misikiti humu ndani?

inawezekana ukilog in ndo ushaingia msikitini,ukpost ndo ka unaswali vile.
Jf nako kuna vituko vyake.
Kama vipi tuka browse kwenye mitandao na vitabu vingine ili tumjue huyo muanzilishi wa taifa la msumbiji.
 
baba wa taifa ni nani? mtu aliye na jina lililopewa nchi? haya baba wa Tanganyika nani?

muanzilishi wa msumbiji alitoka kilwa?? tuache utani msumbiji imeanza kukaliwa lini hata mwanzilishi wa taifa awe mtanzania?
jina sio uanzilishi wa taifa bwana na huyo mtu alikuwa maarufu kwakuwa alikuwa trader,labda kama history ya Mozambique inaanzia 10c AD. pili huyo jamaa ni arab blood lined sio wa ndani hana ungindo wala ukilwa......sio mbaya ukiuliza alifukuzwa kisa nini toka kilwa kisha ukatufahamisha......

I appreciate nilichojifunza leo.....sikujua chanzo cha hiki kitu

Yap umehoji mambo ya msing sana sema kwa harakaharaka twaweza sema chanzo cha jina Msumbiji ni Mtanzania Musa al Bique aliekuwa Kilwa kisiwani b4 moving to Land of Sofa now Mozambique.

Pia kuhusu kuondoka kwake hapo Kilwa kisiwani ni after Sultan Ali Hasan bin Suleimani kufika maeneo hayo ya Kilwa. Thank you kwa kupanua wigo wa fahamu zetu katika historia.
 
inawezekana ukilog in ndo ushaingia msikitini,ukpost ndo ka unaswali vile.
Jf nako kuna vituko vyake.
Kama vipi tuka browse kwenye mitandao na vitabu vingine ili tumjue huyo muanzilishi wa taifa la msumbiji.

Muanzilishi ndio huyo Musa al Bique ukienda deep zaidi muanzilishi wa kila taifa itakuwa Mungu.
 
Back
Top Bottom