Mahabati
Pete
Kihongwe nguvu za giza
Mzee wqa busara
alafu kuna wasanii walikuwa wakali sana enzi hizo sijui wamepotelea wapi kama Taff Chuma (Pettit Mugaboniela), blandina wa The Game Of Love, yule mdada wa Mahabati
Yap mkuu hata Mimi nilimuona kwenye movies kadhaa, wengi hawakupenda uigizaji wake , japokuwa ni muongozaji na mtunzi mzuri sana kwangu Mimi, Jamaa anajua na ni bonge la mbunifu alinifuraisha sana kwenye movie ya VERONICA