Mussa Camara wa Simba ana mambo ya kitoto sana. Fadlu aanze kumpa nafasi Ally Salum kumtoa wenge

Mussa Camara wa Simba ana mambo ya kitoto sana. Fadlu aanze kumpa nafasi Ally Salum kumtoa wenge

Pamoja na kwamba Camara ni golikipa mzuri nilishasema zaidi ya mara moja kuwa Lakred asiachwe.

Itakuwa ni kosa kubwa sana na matumizi mabaya ya rasilimali za klabu kumuacha Ayoub Lakred. Simba ndiyo timu pekee duniani ambayo mchezaji akiumia tu anaachwa. Kwa staili hiyo, hauwezi kamwe kujenga timu imara ambayo wachezaji wanacheza kwa moyo wote.

Katika dirisha dogo, Simba iachane na Manula halafu imbakishe Lakred hadi mwishoni mwa msimu kama inawezekana. Kuna dalili fulani za washkaji zake Manula pale nyuma wanaweza kuchomesha ili kumharibia Camara ili jamaa yao arudi langoni.

Simba haimhitaji tena Manula.
 
"Tarehe 19 kwa mkapa itakua ni vilio na lawama" - Ahmed Ally

Ifike mahala muache kutafutana lawama kufungwa huwa kupo tu hata uwe nani! Mbona R.William ule mchomo za Aziz Ki ilikuaga goli? Mbona haimfanyi asiwe goli kipa bora..
Na ile derby iliopita goli2 zile alifungwa nani?
KUbalini mmefungwa ganga yajayo! Mtabadili makipa kila siku kisa kufungwa na Yanga mwisho makipa wenu watakosa confidence ya derby mana wanajua akifungwa lawama zote zake!
 
Huyu mchekeshaji ana mambo ya kitoto sana. Toka afungwe zile goli mbili za kizembe imani imeshashuka sana.

Baada ya kufahamu kwamba ni mchekeshaji kama kina Steve Nyerere, nimegunduwa kuna muda anakosa seriousness.

Ana mambo ya kitoto not yet matured.

Kocha Fadlu awe anampa nafasi Ally Salum kumtia akili.
Nilijua tu chupi upande mtatafuta chaka la kujifichia
 
Huyu mchekeshaji ana mambo ya kitoto sana. Toka afungwe zile goli mbili za kizembe imani imeshashuka sana.

Baada ya kufahamu kwamba ni mchekeshaji kama kina Steve Nyerere, nimegunduwa kuna muda anakosa seriousness.

Ana mambo ya kitoto not yet matured.

Kocha Fadlu awe anampa nafasi Ally Salum kumtia akili.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
JamiiForums1683832807.jpeg
JamiiForums-312072181.jpeg
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
View attachment 3130591View attachment 3130592
Namuona basha yako kwenye picha.
 
Huyu mchekeshaji ana mambo ya kitoto sana. Toka afungwe zile goli mbili za kizembe imani imeshashuka sana.

Baada ya kufahamu kwamba ni mchekeshaji kama kina Steve Nyerere, nimegunduwa kuna muda anakosa seriousness.

Ana mambo ya kitoto not yet matured.

Kocha Fadlu awe anampa nafasi Ally Salum kumtia akili.
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
View attachment 3130591View attachment 3130592
Namuona basha yako kwenye picha.
Kabisa, huyo ni Basha wako kama ulivyojieleza vizuri Makolokolo 😅

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
 
Sikiliza nikwambie shabiki kolo wa simba, ubora wa mchezaji yeyote huonwa na kocha wakiwa mazoezini,baada ya mazoezi kocha hukaa,kutafakari na kuja na first evelen yake kutokana na kile alichokiona mazoezini,moussa pinpin camara jr huonesha quality bora zaidi ya hao wapinzani wake,ndo mana hupangwa ktk mechi za ushindani.
 
Sisi ndiyo Simba SC AKA;

1. Makolokolo SC.
2. Mbumbumbu SC.
3. Mipang'ang'a SC.
4. Malalamiko (Lialia) SC.
5. Makelele SC.
6. Madunduka SC.
7. Manyaunyau (mapaka) SC.
8. Mwakarobo SC.
9. Mikia SC.
10. Miso Misonda SC.
11. Manyang'au SC.
12. Mazumbukuku SC.
13. Mazombi SC.
14. Kinyume nyume SC.
15. Ngada SC.
16. Kolowizard SC
17. Zuwena SC.
18. Bebwabebwa (Mbeleko) SC.
19. Panya roads SC.
20. Kikanuni SC.
21. Kufa Kiume SC.
View attachment 3130591View attachment 3130592

Kabisa, huyo ni Basha wako kama ulivyojieleza vizuri Makolokolo [emoji28]

Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ankufiraga sa ngapi?
 
Anadaka bila akili ila akitulia ni goolkeeper mzuri Sana na tatizo lake ni kutaka kuwa kama diarra
Utulivu ni hulka ya mtu; kama yeye hana hulka ya utulivu basi hawezi kulazimishwa kutulia.
 
Back
Top Bottom