OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
Mussa Zungu, Mbunge wa Ilala amesema haya
Hoja kuhusu viwango vya tozo za miamala ziko juu ni kweli yaani Laki moja inatafutwa kwa mbinde halafu ada inakatwa mara tatu, ndio maana Rais Samia ametoa maagizo kwamba litizamwe wapi tulipokosea.
Hii kodi tumeiweka kwa ajili ya wenye uwezo, kati ya Watu Mil. 50 wanaomiliki line za simu, Watu Mil. 20 tumewatoa hawalipi hii kodi, wanaolipa ni Mil. 30 ambao tunaamini wana uwezo kiasi na tunajuaje wana uwezo ni kwa kupitia TCRA.
Tukisema Tshs. 50 kwa Watu Mil. 30 (wanaolipa tozo za simu) tunapata Bil. 540. Tukiweka Tshs 100 tunapata Tril. Moja na Bil. 80 haya ni mapato ambayo yatasaidia kuchochea maendeleo ya Nchi yetu.
Kuwa na ada ya simu ni uzalendo leo hatuandiki barua, hatuna gharama ya stempu, leo Mtu yupo Mwanza anauliza Soko la Pugu ni shilingi ngapi, anauliza soko la samaki ni shilingi ngapi, hii ni nafasi nzuri tuwe na kodi ya uzalendo.
My Take
Kwa wabunge kama hawa ilikuwa sahihi Magufuli kuwa analishauri bunge badala ya bunge kumshauri yeye. Hatuna bunge
Hoja kuhusu viwango vya tozo za miamala ziko juu ni kweli yaani Laki moja inatafutwa kwa mbinde halafu ada inakatwa mara tatu, ndio maana Rais Samia ametoa maagizo kwamba litizamwe wapi tulipokosea.
Hii kodi tumeiweka kwa ajili ya wenye uwezo, kati ya Watu Mil. 50 wanaomiliki line za simu, Watu Mil. 20 tumewatoa hawalipi hii kodi, wanaolipa ni Mil. 30 ambao tunaamini wana uwezo kiasi na tunajuaje wana uwezo ni kwa kupitia TCRA.
Tukisema Tshs. 50 kwa Watu Mil. 30 (wanaolipa tozo za simu) tunapata Bil. 540. Tukiweka Tshs 100 tunapata Tril. Moja na Bil. 80 haya ni mapato ambayo yatasaidia kuchochea maendeleo ya Nchi yetu.
Kuwa na ada ya simu ni uzalendo leo hatuandiki barua, hatuna gharama ya stempu, leo Mtu yupo Mwanza anauliza Soko la Pugu ni shilingi ngapi, anauliza soko la samaki ni shilingi ngapi, hii ni nafasi nzuri tuwe na kodi ya uzalendo.
My Take
Kwa wabunge kama hawa ilikuwa sahihi Magufuli kuwa analishauri bunge badala ya bunge kumshauri yeye. Hatuna bunge