Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 577
- 2,595
2025 ni Nani atapiga Kura maana watanzania wamechoka Sana na huu UJINGA wao
Tutapiga kura na tutashinda kwa kishindo endelea kujidanganya2025 ni Nani atapiga Kura maana watanzania wamechoka Sana na huu UJINGA wao
Huyu Zungu ajiongelee yeye mwenyewe. Je, yuko mioyoni mwa wanaIlala wote kwamba wanampenda Samia? Yeye aendelee tu kulamba taratibu mshahara wa naibu spika mil. 25 hasitudanganye.Rasmi tunaanza Ajenda ya Samia 2025 leo katika Jimbo letu la Ilala. Hatutazimwa na mtu wala hatutawashwa na mtu, tumeamua kumbeba na kumtetea kiongozi anayesimamia umoja katika taifa letu.
Musa Azan Zungu
Mbunge, Ilala (CCM)
Tindo, ukisusa wenzio ndiyo wanapita kilaini bora piga kura zikiwa nyingi watashidwa kuiba.Kabisa, hakuna mtu anayejitambua ataendelea kushiriki kwenye chaguzi za kupuuzi.
CCM2025 ni Nani atapiga Kura maana watanzania wamechoka Sana na huu UJINGA wao
Tindo, ukisusa wenzio ndiyo wanapita kilaini bora piga kura zikiwa nyingi watashidwa kuiba.