Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
"...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!
Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..
Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...
Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."
NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -
Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..
Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...
Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."
NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -