Credit
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 1,490
- 1,881
Kama Riziwani kawa waziri awamu hii anashindwaje Makamba kuwa PM! Kwa sasa kila kitu kinawezekana.Akili zako naona zina vuja sehemu na huyo Makamba wako.
Kwa taarifa yako Makamba hatakaa aukwae upm maana hana sifa hizo
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app