Mustaafu: Huyo usimguse, ana madhara

Mustaafu: Huyo usimguse, ana madhara

Huyo akipewa UPM basi ndoto zake za kuwa prezadaa zinaishia hapo
 
"...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!

Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..

Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...

Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."

NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -
Hata Mh Jobu alisemaga "atake asitake Tutaongeza Muda"
Lakini Cha kushangaza leo hii mmoja kafariki mwingine Kashinikizwa kujiuzulu...

Mungu ndiye anajua kesho
 
"...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!

Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..

Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...

Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."

NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -

Hata hivyo Majaliwa hichi Ni kipindi chake Cha mwisho. Sidhani Kama anahitaji tena miaka mitano ya uwaziri mkuu.
 
Sumaye pamoja na kuitwa mr.zero ana akili za malezi kuliko Makamba Jr.(akili za darasani mmoja kaiba mitihani kwahiyo sioni haja ya kuwalinganisha kwenye Hilo)
Kwa lugha ya vijana Makamba ni kiazi ila jina la baba ndio limembeba miaka yote.
 
Hata hivyo Majaliwa hichi Ni kipindi chake Cha mwisho. Sidhani Kama anahitaji tena miaka mitano ya uwaziri mkuu.
Majaliwa hatakiwi kutolewa kwasbabu, ukimtoa maana yake unaongeza tu mzigo kwa serikali wa kulea wastaafu.

Na akimaliza sasa hivi atakuwa amekuwa PM kwa miaka 10 kwahiyo sidhani kama anatakiwa kiwa zaidi ya hapo.

Tatizo la vijana wa sasa hivi wakishapiga Kiwingu wanajifanya wamepata dondoo za siri 😂😂😂😂
 
Utabiri wa Padri John (Yehya) unaenda kutimia bila pingamizi lolote kama kuna mtu ataendelea kushikiwa akili
 
"...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!

Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..

Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...

Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."

NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -
Alisikika Mzee mmoja wa Makamo akimweleza Bibi yule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Back
Top Bottom