Kama Riziwani kawa waziri awamu hii anashindwaje Makamba kuwa PM! Kwa sasa kila kitu kinawezekana.Akili zako naona zina vuja sehemu na huyo Makamba wako.
Kwa taarifa yako Makamba hatakaa aukwae upm maana hana sifa hizo
Hata Mh Jobu alisemaga "atake asitake Tutaongeza Muda""...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!
Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..
Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...
Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."
NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -
"...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!
Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..
Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...
Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."
NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -
Hamukuanza leo kumpigia kampeini Makamba lkn lazima mjue kuwa historia ni shahidi wa kweli hapa dunianiKama Riziwani kawa waziri awamu hii anashindwaje Makamba kuwa PM! Kwa sasa kila kitu kinawezekana.
Sent from my Infinix X624 using JamiiForums mobile app
Majaliwa hatakiwi kutolewa kwasbabu, ukimtoa maana yake unaongeza tu mzigo kwa serikali wa kulea wastaafu.Hata hivyo Majaliwa hichi Ni kipindi chake Cha mwisho. Sidhani Kama anahitaji tena miaka mitano ya uwaziri mkuu.
Wacha wale utawala.Ridhiwan ni Waziri tena wizara ya ardhi
Alisikika Mzee mmoja wa Makamo akimweleza Bibi yule[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]"...Huyo jamaa wewe wala usihangaike naye nenda naye hadi 2025 kwa tahadhari kubwa!
Ukimtoa pale kwa panga hili italeta maneno mengi sana mtaani kwa sababu ana wengi waaminio ni mchapakazi..
Nenda naye hadi 2025 Mollah akijalia halafu zalisheni upinzani wa kweli Jimboni kwake na uhakikishe anashindwa uchaguzi na hapo utakuwa huna lawama...
Kijana mkazanie hilo la umeme lisije mharibia kama ni marekebisho wafanye JITIHADA haraka yamalizike kikubwa kuanzia 2024 mwanzoni hakikishe tatizo la umeme kukatikakatika lisiwepo."
NB: Mpende msipende February ndiye PM wenu kuanzia 2025 -