Pancras Suday
JF-Expert Member
- Jun 24, 2011
- 8,141
- 3,838
kujiudhuru ndo njia bora kuliko kumuomba msamaha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo kwenye RED, mi nafikiri kwa sasa mawaziri wote wa JK wamezishindwa wizara zao, sio Mkulo tu. Inahitajika total reformation ya Serikali nzima kuanzia kwa Pinda mpaka kwa Hawa Fujo (a.k.a Hawa Ghasia).
zitto kwenye UKWELI hasubiri ruhusa kuusema,Alimlipua karamagi akafukuzwa bungeni mwishowe ikabainika mkataba wa buzwagi ulisainiwa hotelini,aliwaambia chadema kutokumtambua jk sio sahihi as tutakwama kuendesha siasa akazongwa mwishoni wamekubali kimya kimya,alisema kisheria kuvunja mkataba wa DOWANS ni makosa KISHERIA wakabisha wanasheria uchwara mishowe tumeshindwa kwenye kesi ngazi ya kitaifa na kimataifa,alitangaza serikali ni muflis wakabisha mwishoni sasa wanakubali,alianzisha rasmi mjadala wa kupinga posho ya makalio sasa tumefikia sehemu kila mtu anamtupia zigo mwingine,alikanusha rais kusign posho gugumaji NKAMIA akaja juu sasa kaumbuka,tangu amekuwa MWENYEKITI WA KAMATI MUHIMU YA bunge hata maadui zake wamekubali dogo jembe,anapigwa vita na watu wa CCM na CDM but dogo bado yupo juu,Said kubenea kwenye kipeperushi chake juzi kaacha kuandika mgomo wa madaktari,nyongeza ya posho anakwenda kuandika habari isiyo na maslahi kwa chama chake wala TAIFA kisa ZITTO achafuke.ZITTO kaza buti tumia muda mwingi kwenye tafiti zako badala ya kuiga wenzako wanaoshinda kwenye vibaraza vya wanahabari kuuza mafuvu yao!!!Serikali yetu haiwezi kukiri udhaifu wake hata siku moja, kwa hiyo hata mkulo hawezi kuomba radhi kwa sababu hana tendency. Yeye kila kitu anasema Zitto ni muongo bila kujua kuwa yeye ndio anaoneka muongo mbele ya wananchi
Naunga mkono hoja
Hawezi coz atasema kuwa serikali parse haijatamka kuwa imefilisika!