ZeMarcopolo
Platinum Member
- May 11, 2008
- 14,040
- 7,303
kwani Slaa alitolewa nduki kama huyu mzee wa uparaaaa!????
Nimependa sana ujasiri wa wananchi..iwe wembe huo huo utumike kwa wabunge wote wasio timiza ahadi zao.
Huu ni uzembe tu ... naamini hashindwi kutoa au kuchangisha hiyo hela..... aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 ...
[/B]
Sijakuelewa unamaanisha nini.Yaani Mtu akiwa Waziri ndio Jimbo lake liendelee kuliko Mengine?Funguka Tafadhali naona network imeshindwa kukunasa vizuri.
Huu ni uzembe tu ... naamini hashindwi kutoa au kuchangisha hiyo hela.
Unauchungu wa kuporwa mke nini? Uzembe wako ndio ulisababisha mkeo akukimbie na hata hako kamalaya kanakokuhifadhi sasa hivi kana mpango wa kusepa si muda mrefu!Yaani huo mradi wa maji wanataka kuufisadi kama ule wa Karatu alivyoufisadi Dr. Slaa.
Maji ni UHAI...
Nimuda muafaka kwa wananchi kuamka.Wana bodi,
Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.
Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.
Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.
Nikiweza ntaleta picha
Wana bodi,
Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahiti kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.
Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.
Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.
Nikiweza ntaleta picha
Huo ni uongo kabisa. Hata ukimdanganya Mtoto aliyetumboni mwa mama yake ataukataa na ataanza kucheza tumboni mwa mama yake kupinga uongo kama huo. Sijui kama unasema uongo kiasi hicho watoto wako wanajifunza nini kutoka kwako. Kwanza haiingii akilini uongo wako huo kugeuka ukweli.Wana bodi,
Naamini wengi mnapajua Dumila. Mji huu upo katka wilaya ya Kilosa, jimbo linaloongozwa na Mustapha Mkulo.
Leo hii takriban saa moja lililopita Mhe. Mkulo amelazimika kukimbia kabisaaa (Namaanisha kukimbia) pale wananchi wa mji huu walipoanza kupaza sauti za kumzomea baada ya kutoa majibu mabaya juu ya mradi wa maji ambao yeye aliahidi kutoa Tsh 5,000,000 toka katika Mfuko wa Jimbo tangu mwaka 2011 lakin hadi leo hajatoa na aliwahi kunukuliwa akisema hatatoa kwa madai kwamba alitukanwa na katibu wa CCM wa wilaya.
Majibu yake kwamba "... sitoi hela mpaka katibu aniombe msamaha kwa maandishi..." ndo yakaibua hasira za wananchi ambao mwaka huo wa 2011 walilazimishwa kwa vipigo kutoa kila mtu Sh 3500 tofauti na makubaliano ya kuchangia sh 2000 kwa kaya... pesa ambazo nazo zimeliwa.
Mkulo kadandia gari yake aina ya Range Rover Vogue na kutimka.
Nikiweza ntaleta picha
Huo ni uongo kabisa. Hata ukimdanganya Mtoto aliyetumboni mwa mama yake ataukataa na ataanza kucheza tumboni mwa mama yake kupinga uongo kama huo. Sijui kama unasema uongo kiasi hicho watoto wako wanajifunza nini kutoka kwako. Kwanza haiingii akilini uongo wako huo kugeuka ukweli.