Mustakabali wa elimu yetu wadau wa elimu

MWITA BUGONGO

Member
Joined
Jun 5, 2014
Posts
19
Reaction score
8
Siku zote wadau wa elimu nimekuwa nawaambia kuwa shule yoyote inayokimbilia kuchuja wanafunzi kwa kisingizio cha uelewa mdogo wa wanafunzi wao wanawakosea adabu wazazi na wanafunzi hao . Hivi ni kweli kwamba mwalumu mzuri kazi yake ni kufundisha wanaojua tu ? na je shule za kata nani anawachuja na mbona wamemaliza vyuo vikuu sasa na wako kiwango sana ? Ndugu zangu wa shule za binafsi chujeni waalimu wenu msichuje watoto kumbuka mwenye afya hahitaji daktari bali aliye mgonjwa .Amkeni sasa .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…