Musukuma ataka machinga wasibugudhiwe. Asema Serikali imechuma Bilioni 43 kwenye Vitambulisho

Musukuma ataka machinga wasibugudhiwe. Asema Serikali imechuma Bilioni 43 kwenye Vitambulisho

Kana kwamba Machinga pekee ndio walipaji kodi kariakoo kulivyo bana vile nina hakika walio lipia vitambulisho ni asiliia 50 tu
 
Rais yupo mwanza nilitegemea wabunge wote wa kanda ya ziwa wawe Mwanza.
Au siku hizi utaratibu umebadirika?
 
Hakuna Machinga humu awatetee wenzake maana wametengwa kwenye uzi
 
UNamdharau Elitwege. Ukipewa kibaya cha kuanza nacho, utawaona machinga ni tatizo kuliko changudoa? be frank!
Zote mbaya! Machinga watafutiwe utaratibu, siyo kukaa kila mahali hadi barabarani, njia za waenda kwa miguu na mbele ya maduka ya watu ambao ndiyo walipa kodi wakubwa. Machangudoa hawezi kuwaondoa, ni oldest biashara duniani, hata Maria Magdalena (Mtu wa kwanza kumuona Yesu baada ya kufufuka) alikuwa changudoa, Nchi zilizoendelea wamewatengenezea utaratibu pia, ni legal business, na wana msaada wao mkubwa. Huko kwetu ukisema ulegalise uchangudoa utashambuliwa kila kona (kwa unafiki wetu), cha kushangaza wengine watakaokushambulia ni wateja wakubwa wa hiyo kitu.
 
Back
Top Bottom