Musukuma: Mke wa Diallo alipewa Ukurugenzi na Hayati Magufuli. Asema alimsaidia Star Tv ilipofungiwa na TRA

Amang'ana gasalikile [emoji1787]
 
Daraja refu kuliko yote Africa ni 6th of October Bridge la Cairo Misri. Lina urefu wa km 20.5.

Kagongo linakuwaje daraja refu kuliko yote Africa hapo?
Huna akili
 
Daraja refu kuliko yote Africa ni 6th of October Bridge la Cairo Misri. Lina urefu wa km 20.5.

Kigongo Busisi linakuwaje daraja refu kuliko yote Africa hapo?
Ni refu kuliko yote Afrika Mashariki na Kati
 
Ni refu kuliko yote Afrika Mashariki na Kati
Mtoa mada kaandika Africa. Si Africa Mashariki na Kati. Arekebishe basi.

Kuna watu watasoma hapa na kukariri kwamba hili ni daraja refu kuliko yote Africa.
 
Mtoa mada kaandika Africa. Si Africa Mashariki na Kati. Arekebishe basi.

Kuna watu watasoma hapa na kukariri kwamba hili ni daraja refu kuliko yote Africa.
Acha tu na sisi tuwe tunachukua hizo cedits kutoka kwa watu ambao hawako enquisitive.
 
Mtoa mada kaandika Africa. Si Africa Mashariki na Kati. Arekebishe basi.

Kuna watu watasoma hapa na kukariri kwamba hili ni daraja refu kuliko yote Africa.
Acha kupotosha
 
Acha kupotosha
Nimepotosha nini?

Wewe ulichofanya hata kwenye kupotosha hakijafika.

Kwa sababu hujaandika hata nilichopotosha ni kipi.

Unabisha kuhusu daraja refu kabisa Africa? Au unasema nimepotosha nini?
 
Yani daraja la Kagongo-Busisi ndo refu kuliko yote Afrika?!! Maaweeee...!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…