Musukuma: Mtakufa vibaya, lazima niwaroge

Musukuma: Mtakufa vibaya, lazima niwaroge

Replica

JF-Expert Member
Joined
Aug 28, 2017
Posts
1,681
Reaction score
8,887
Mbunge Geita, Joseph Musukuma amelilalamikia Jeshi Usu kupiga watu na kufanya ubakaji. Musukuma amesema kuna makosa yamefanyika katika kulitengeneza Jeshi Usu.

Musukuma pia ameongelea Maliasili kukamata ng'ombe za wafugaji akidai anashangazwa baada ya minada kufanyika wahusika nao wanaanza ufugaji akiwatuhumu kuzinunua wenyewe kiujanja ujanja. Msukuma amesema hizo ni laana na wahusika watakufa vibaya.

 
Huyu alikuwa chawa namba 1 wa magu.
Hakuwah kukemea haya.
Huyu jimbon kwake mtu akienda kinyume na yeye yupo tayr kumloga wala sii utani
 
Huyu alikuwa chawa namba 1 wa magu.
Hakuwah kukemea haya.
Huyu jimbon kwake mtu akienda kinyume na yeye yupo tayr kumloga wala sii utani
 
Tatizo la nchi hii ni kuwa wafanyakazi wa serikali wanaobuni Sheria hizi na kuzipeleka bungeni zipitishwe kwanza ni maskini wa mali na roho na pili hawajawahi kushiriki shughuli wanazozibunia Sheria kama kilimo, ufugaji, biashara nk. Hivyo mara zote hubuni Sheria kandamizi.

Ndiyo sababu watumishi hawa wakistaafu hawawezi kuendeleza shughuli au kazi za taaluma zao. Mfano ofisa wa TRA akistaafu hawezi kufanya biashara kwa kuwa kodi alizozibuni hawezi kuzilipa kutokana na biashara yake. Vivyo hivyo kwa taaluma nyingine.
 
Tatizo la nchi hii ni kuwa wafanyakazi wa serikali wanaobuni Sheria hizi na kuzipeleka bungeni zipitishwe kwanza ni maskini wa mali na roho na pili hawajawahi kushiriki shughuli wanazozibunia Sheria kama kilimo, ufugaji, biashara nk. Hivyo mara zote hubuni Sheria kandamizi.

Ndiyo sababu watumishi hawa wakistaafu hawawezi kuendeleza shughuli au kazi za taaluma zao. Mfano ofisa wa TRA akistaafu hawezi kufanya biashara kwa kuwa kodi alizozibuni hawezi kuzilipa kutokana na biashara yake. Vivyo hivyo kwa taaluma nyingine.
Sure
 
Back
Top Bottom