Amefurahia waendelee kutumia fedha vibaya huku Tozo zinaingia,Kwa kifupi Bi Mkola kamkomoa Msukuma na wananchiSijaelewa unachofurahia
Hakuna nilipofurahia hapo. Na kama mlimuona Musukuma kondoo basi nawaambia ni fisi kama ilivyo baadhi ya CCM wengine.Amefurahia waendelee kutumia fedha vibaya huku Tozo zinaingia,Kwa kifupi Bi Mkola kamkomoa Msukuma na wananchi
Unaandika manini mbona hayaelewekiMiezi kadhaa nyuma Mbunge Musukuma uliibua ununuzi wa gari VXR-V8 Geita, ukaibua ujenzi wa bustani (eneo la kupumzikia), ukaponda ukaongea sana, ukawachongea mkuu wa mkoa Luhumbi na mkurugenzi Geita mji.
Nimeusoma mkeka Mkurugenzi uliemchongea yupo Ilemela, Luhumbi ndio mkuu wa mkoa Mwanza, unajisikiaje??
Umewaumiza wanageita wamebaki kulalamika tu. Gari nayo itarudi muda wowote.
Jiandae wanakusubiri Mwanza mkuu.
Serikali ina njia nyingi za kujua mambo, msukuma sometimes ni mpotoshaji na chuki binafsi tu na huwa anatumiwa na wenye husdaMiezi kadhaa nyuma Mbunge Musukuma uliibua ununuzi wa gari VXR-V8 Geita, ukaibua ujenzi wa bustani (eneo la kupumzikia), ukaponda ukaongea sana, ukawachongea mkuu wa mkoa Luhumbi na mkurugenzi Geita mji.
Nimeusoma mkeka Mkurugenzi uliemchongea yupo Ilemela, Luhumbi ndio mkuu wa mkoa Mwanza, unajisikiaje??
Umewaumiza wanageita wamebaki kulalamika tu. Gari nayo itarudi muda wowote.
Jiandae wanakusubiri Mwanza mkuu.
Atakuwa ama ni Mamsampu ( Mke ) au Goma ( Danga ) la huyo DED anayemtetea na Kumsemea hapa Mkuu.Sijaelewa unachofurahia
Pongezi nyingi sana kwa Kumtetea DED.Brother sikuwahi fikiria unaweza nivunjia heshima kiasi hiki....
Ahsante mkuu