albab
JF-Expert Member
- Jul 6, 2018
- 1,198
- 2,562
Miezi kadhaa nyuma Mbunge Musukuma uliibua ununuzi wa gari VXR-V8 Geita, ukaibua ujenzi wa bustani (eneo la kupumzikia), ukaponda ukaongea sana, ukawachongea mkuu wa mkoa Luhumbi na mkurugenzi Geita mji.
Nimeusoma mkeka Mkurugenzi uliemchongea yupo Ilemela, Luhumbi ndio mkuu wa mkoa Mwanza, unajisikiaje??
Umewaumiza wanageita wamebaki kulalamika tu. Gari nayo itarudi muda wowote.
Jiandae wanakusubiri Mwanza mkuu.
Nimeusoma mkeka Mkurugenzi uliemchongea yupo Ilemela, Luhumbi ndio mkuu wa mkoa Mwanza, unajisikiaje??
Umewaumiza wanageita wamebaki kulalamika tu. Gari nayo itarudi muda wowote.
Jiandae wanakusubiri Mwanza mkuu.