Gily Gru
JF-Expert Member
- Jul 4, 2016
- 8,632
- 23,673
Ikiripotiwa kwenye blog ya daily “If the proposal was to become law, telling someone you love them when you don’t, pretending to be rich and well connected when you are not, claiming educational achievements that you don’t possess, denying a complex sexual history – say, with same sex partners – could all conceivably count as fraudulently obtaining sexual consent”. Kama huu muswada ukiwa sheria, kumdanganya mtu kuwa unampenda, kujifanya una hela wakati njaa, kujifanya una PHD wakati uliishia darasa la nne, kukataa kuwa ulikuwa na mahusiano na mtu uliyeshiriki nae kimapenzi yote yangekutia hatiani kuwa unalaghai kupata penzi.
“If the boast that you have made induces somebody to participate in sexual activity with you,” says Andrew Dyer, “then you are liable to spend a long time in jail.” Kwa wale majemedari wanaopenda kujitangaza kwamba wamelala na mtu Fulani, wangekuwa hatiani kupitia sheria hii tena kwenda jela kwa muda mrefu.
Sheria hii ikija Tanzania, kwa wanawake na wanaume, wapi watafungwa kwa kuwa vinara wa kulaghai kuliko wenzake?. Wanawake wengi wana mjumuiko wa urembo, nguo za mitego na vya ziada kuwatamanisha wanaume. Huwezi kuachana na mawigi, kucha bandia, make up, lip stick, sidiria za kusimamisha matiti, manukato ya kuvutia, chuo za G strings na vitu vingi vioivyodizainiwa kuvuruga wanaume na kuwafanya wawaone ni wazuri kushinda walivyo.
Kwa wanaume tunaweza kabisa kulalamika kuwa hivi ni mbinu za kuwafanya wanawake tuwaone wazuri na kututamanisha tulale nao. Hichi kitu kinapofanyika kwa mwanamke ni kosa kwa nchi hizi, ila likifanyika kwa mwanaume inachukuliwa kama maisha.
Kitu kingine ni kuthibitisha kuwa ulaghai ulitumiwa kushawishi kushiriki mapenzi. Mwanamke anaweza kudai kuwa harufu nzuri ya manukato ilimshawishi kulala na mwanaume, lakini baada ya manukato kuisha akajua alikuwa amedanganywa na kulaghaiwa kimapenzi. Hii sheria ikipitishwa Tanzania leo hii, unadhani utafungwa kwa miaka mingapi?
Source: Lying To Have Sex With Someone Could Soon Be Considered Sexual Assault
“If the boast that you have made induces somebody to participate in sexual activity with you,” says Andrew Dyer, “then you are liable to spend a long time in jail.” Kwa wale majemedari wanaopenda kujitangaza kwamba wamelala na mtu Fulani, wangekuwa hatiani kupitia sheria hii tena kwenda jela kwa muda mrefu.
Sheria hii ikija Tanzania, kwa wanawake na wanaume, wapi watafungwa kwa kuwa vinara wa kulaghai kuliko wenzake?. Wanawake wengi wana mjumuiko wa urembo, nguo za mitego na vya ziada kuwatamanisha wanaume. Huwezi kuachana na mawigi, kucha bandia, make up, lip stick, sidiria za kusimamisha matiti, manukato ya kuvutia, chuo za G strings na vitu vingi vioivyodizainiwa kuvuruga wanaume na kuwafanya wawaone ni wazuri kushinda walivyo.
Kwa wanaume tunaweza kabisa kulalamika kuwa hivi ni mbinu za kuwafanya wanawake tuwaone wazuri na kututamanisha tulale nao. Hichi kitu kinapofanyika kwa mwanamke ni kosa kwa nchi hizi, ila likifanyika kwa mwanaume inachukuliwa kama maisha.
Kitu kingine ni kuthibitisha kuwa ulaghai ulitumiwa kushawishi kushiriki mapenzi. Mwanamke anaweza kudai kuwa harufu nzuri ya manukato ilimshawishi kulala na mwanaume, lakini baada ya manukato kuisha akajua alikuwa amedanganywa na kulaghaiwa kimapenzi. Hii sheria ikipitishwa Tanzania leo hii, unadhani utafungwa kwa miaka mingapi?
Source: Lying To Have Sex With Someone Could Soon Be Considered Sexual Assault