NI MTAZAMO TU
JF-Expert Member
- Feb 20, 2014
- 1,203
- 999
Wakuu humu kwa yyte mwenye huu mswada wa makosa ya barabarani tunaomba atuwekee humu ili tuusome, maana tunaambiwa kutokujua sharia hakukufanyi sheria hiyo kutokukubana kisheria.
Na Sisi na Vigari vyetu tusijejikuta tunandikiwa na kuishia kulalamikia Traffic wakati ni wajibu wetu kuusoma.
Naomba tena wajuzi wa mambo tuwekeeni humu huo mswada uliopitishwa Jana Bungeni ili tuusome kwa kina.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na Sisi na Vigari vyetu tusijejikuta tunandikiwa na kuishia kulalamikia Traffic wakati ni wajibu wetu kuusoma.
Naomba tena wajuzi wa mambo tuwekeeni humu huo mswada uliopitishwa Jana Bungeni ili tuusome kwa kina.
Sent using Jamii Forums mobile app