Mahakama hakuna nchi hii.
Unataka kuniqmbia akina Sugu, Lema, Mbowe na wengineo walikaa gerezani miezi minne kila mmoja kwa uwonevu kwasbb sheria ziko kwa kiingereza??
Kuna tatizo la katiba nchi hii. Huyu msukuma asiyejua chochote leo hii katiba inampa mamlaka ya kuqmua chochote ni hatari.
Somo la historia anaamua yy
Wanyama kupelekwa Chato anaamua yy
Sheria ziwe za kiswahili anaamua yy
Chato kuwa jiji anaamua yy
Kura ziibiwe kwenye mabegi anaamua yy
Chanjo ya korona isije nchini anaamua yy
N.k
Kuna tatizo!!!