Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Sanya jamani....
Anasema alitokea mjinga mmoja huko Tarime wakati wa kampeni, akachukua Bendera ya CCM akamvalisha mbwa. Anasisitiza huyo ni mjinga tu, awe wa chama chochote kwa sababu huwezi kutumia mbwa kutafuta umaarufu wa chama.
Anaendelea....
Akatokea mjinga mwingine mkuzwa zaidi akamuua yule mbwa!!!
very interesting! kwani ni nini kilisababisha (motivation) ya mswada huo? inawezekana magufuli hakushirikisha wadau kabla ya kuuwasilisha bungeni ndo maana kila Mbunge yupo kimya au si wakati wake. Wakati huu ungepwlekwa mswada juu ya kuwasamehe mafisadi wa EPA.