Mpita Njia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2008
- 6,997
- 1,172
Katika hali ya kushangaza, muswada unaohusu hali bora za wanyama, uliowasilishwa hivi punde na magufuli umekosa wachangiaji. Waliokuwa wamejiandikisha kuchangia ni wawili tu-Job Ndugai na mbunge mmoja wa Chadema viti maalum (jina limenitoka) na wote hawakuwepo bungeni wakati ulipofika wa kuchangia!
hali hii ilimfanya spika Sitaa achanganyikiwe hadi Ibrahim sanya (Mji Mkongwe0CUF) alipoibuka ghafla na kusema kuwa atachangia. Hivi ndio sanya anazungumza na Spika anaamini kuwa watajitokeza wengine kuendelea kuchangia!
hali hii ilimfanya spika Sitaa achanganyikiwe hadi Ibrahim sanya (Mji Mkongwe0CUF) alipoibuka ghafla na kusema kuwa atachangia. Hivi ndio sanya anazungumza na Spika anaamini kuwa watajitokeza wengine kuendelea kuchangia!