Muuaji aamua kujimaliza

Muuaji aamua kujimaliza

Mshana Jr

Platinum Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
301,577
Reaction score
754,412
TAHADHARI‼️
(Video hii ina maudhui ya kuogofya yanayoweza kuumiza hisia).

Inadaiwa kuwa huyu Jamaa alikua amepanga nyumba maeneo ya Kigamboni, barabara ya kuingia Baracuda Beach. Ndani ya nyumba alikua na kiwanda cha kutengeneza pombe feki aina ya K-vant, Konyagi, Henessy na brand nyingine. Inadaiwa alimuua mmoja wa wafanyakazi wake na akamtupa kisimani.

Sasa ile harufu ikawa inafika mpaka kwenye Petrol station ya jirani. Wahudumu wakatoa taarifa Polisi. Askari walipokuja jamaa akataka kulipua nyumba na kujiteketeza yeye pamoja na vyote vilivyopo. Aliposhindwa akaamua kujichinja shingoni kwa kutumia kitu chenye ncha kali. Polisi wakavunja mlango na kuingia ndani ambapo walimchukua na kumuwahisha hospitali. Hata hivyo inadaiwa alifariki muda mfupi baadae.!

View: https://www.facebook.com/share/v/hqomeHN7yQHC8RkY/
 
TAHADHARI‼️
(Video hii ina maudhui ya kuogofya yanayoweza kuumiza hisia).

Inadaiwa kuwa huyu Jamaa alikua amepanga nyumba maeneo ya Kigamboni, barabara ya kuingia Baracuda Beach. Ndani ya nyumba alikua na kiwanda cha kutengeneza pombe feki aina ya K-vant, Konyagi, Henessy na brand nyingine. Inadaiwa alimuua mmoja wa wafanyakazi wake na akamtupa kisimani.

Sasa ile harufu ikawa inafika mpaka kwenye Petrol station ya jirani. Wahudumu wakatoa taarifa Polisi. Askari walipokuja jamaa akataka kulipua nyumba na kujiteketeza yeye pamoja na vyote vilivyopo. Aliposhindwa akaamua kujichinja shingoni kwa kutumia kitu chenye ncha kali. Polisi wakavunja mlango na kuingia ndani ambapo walimchukua na kumuwahisha hospitali. Hata hivyo inadaiwa alifariki muda mfupi baadae.!

View: https://www.facebook.com/share/v/hqomeHN7yQHC8RkY/

Hatari
 
TAHADHARI‼️
(Video hii ina maudhui ya kuogofya yanayoweza kuumiza hisia).

Inadaiwa kuwa huyu Jamaa alikua amepanga nyumba maeneo ya Kigamboni, barabara ya kuingia Baracuda Beach. Ndani ya nyumba alikua na kiwanda cha kutengeneza pombe feki aina ya K-vant, Konyagi, Henessy na brand nyingine. Inadaiwa alimuua mmoja wa wafanyakazi wake na akamtupa kisimani.

Sasa ile harufu ikawa inafika mpaka kwenye Petrol station ya jirani. Wahudumu wakatoa taarifa Polisi. Askari walipokuja jamaa akataka kulipua nyumba na kujiteketeza yeye pamoja na vyote vilivyopo. Aliposhindwa akaamua kujichinja shingoni kwa kutumia kitu chenye ncha kali. Polisi wakavunja mlango na kuingia ndani ambapo walimchukua na kumuwahisha hospitali. Hata hivyo inadaiwa alifariki muda mfupi baadae.!

View: https://www.facebook.com/share/v/hqomeHN7yQHC8RkY/

Tunawambia vijana utajiri una siri nyingi....usidanganyike kwa maneno matupu ati utacheza tu kwenye majukwaa upatenutajiri.
Check hizo kazi za jamaa enzi za uhai wake angekiri kuwa anazifanya na ndio zinampa hela?

Sana sana angekwambia analima Nyanya Iringa.
 
Tunawambia vijana utajiri una siri nyingi....usidanganyike kwa maneno matupu ati utacheza tu kwenye majukwaa upatenutajiri.
Check hizo kazi za jamaa enzi za uhai wake angekiri kuwa anazifanya na ndio zinampa hela?

Sana sana angekwambia analima Nyanya Iringa.


Na umasikini Una siri nyingi pia

Life is about duality (uwili uwili)
 
Ukimfatilia sana utakuta ni Kada wa chama kile.
Mara nyingi deal haramu lazima ziwe na back up ya watu wabaya wa srikali ila anytime wanakugeuka huyo jamaa utakuta watu wa srikali walikuwa na mafungu yao hapo.
Nakumbuka wauza gongo fulani namna walivyowahi mchengia askar fulan kuwa why wanawakamata as if hawawajui wakati huwa wanaenda kuchukua mgao wao!
Nakumbuka wapika gongo fulan ilikuwa wanapikia gongo maeneo ya geshi ambapo wale wakakamavu hawawezi ingia!
 
Mara nyingi deal haramu lazima ziwe na back up ya watu wabaya wa srikali ila anytime wanakugeuka huyo jamaa utakuta watu wa srikali walikuwa na mafungu yao hapo.
Nakumbuka wauza gongo fulani namna walivyowahi mchengia askar fulan kuwa why wanawakamata as if hawawajui wakati huwa wanaenda kuchukua mgao wao!
Nakumbuka wapika gongo fulan ilikuwa wanapikia gongo maeneo ya geshi ambapo wale wakakamavu hawawezi ingia!
Hahaha.....jamaa kawakomalia kama alivyofanya Kiboko ya Wachawi
 
Back
Top Bottom