B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Oct 11, 2024 #61 Right Way In Light said: Lakin hawatakusikia walivyo wabishi Click to expand... Wamehamia kwa pididi
B Bush Dokta JF-Expert Member Joined Apr 11, 2023 Posts 24,831 Reaction score 45,154 Oct 11, 2024 #62 Right Way In Light said: Wala sio kweli. Ulizotaja ni siri za utajiri. Umasikini siri zake ni za kiungwanakabisa uvivu starehe nje ya uwezo kutoweka akiba puuzia misingi ya kiuchumi. huhitaji roho mbaya ili uwe masikini. Umasikini unaweza upata ukiwa mstaarabu aliyetukuka Click to expand... Umeiweka sawa😂😂
Right Way In Light said: Wala sio kweli. Ulizotaja ni siri za utajiri. Umasikini siri zake ni za kiungwanakabisa uvivu starehe nje ya uwezo kutoweka akiba puuzia misingi ya kiuchumi. huhitaji roho mbaya ili uwe masikini. Umasikini unaweza upata ukiwa mstaarabu aliyetukuka Click to expand... Umeiweka sawa😂😂
hassanmpilla Member Joined Feb 1, 2024 Posts 31 Reaction score 31 Oct 11, 2024 #63 Tunalo tatizo kubwa la afya ya akili, inapelekea mpaka watu wanafanya matukio ya ajabu, kikatili na yakustaajabisha.
Tunalo tatizo kubwa la afya ya akili, inapelekea mpaka watu wanafanya matukio ya ajabu, kikatili na yakustaajabisha.
Mshana Jr Platinum Member Joined Aug 19, 2012 Posts 301,577 Reaction score 754,412 Oct 11, 2024 Thread starter #64 King Kong III said: Mshana Jr tupe muendelezo ,ilikuwaje tajiri akaua mfanyakazi wake? Je huyo jamaa/tajiri ana asili ya kiarabu/kichina/kihindi? Click to expand... Nafuatilia mkuu
King Kong III said: Mshana Jr tupe muendelezo ,ilikuwaje tajiri akaua mfanyakazi wake? Je huyo jamaa/tajiri ana asili ya kiarabu/kichina/kihindi? Click to expand... Nafuatilia mkuu