Isidingo!!!!umenichekesha!!We mpumbav ebu endeleza sehemu ya tatu...
Unafanya stori fupi iwe kama isidingo bwana
kaisome hukowikipedia.Itaendelea vp,.. Wakati IPO Wikipedia,
elmagnifico mpaka leo hujamalizia hii kituNamalizia ile nyingine then ntarudi malizia hii
yanakuhusuuuuu!!!!!!?????Achana na Huyu mjinga. Wako kila mahali we tupe hiyo story. Yeye aliiona wkpedia hakuileta ila umeleta wewe imemuuma Achana nae ni wale vilaza tunaoambiwa
Kuna mtu alileta uzi alisema jamaa alipata ajali aliangukiwa na vioo so vikawa vimemchana mikono haifanyi kazi na kapelekwa nje kwa matibabu zaidi....Jamaa huyo hakuna mwenye taarifa nae huwenda kweli hayupo nasi katika ulimwengu wa Mwili.
Kumbe mgonjwa kila la kheri kwake apate nafuu, Israel alikuwa anambeba kabla hajamalizia hii Hadithi.Kuna mtu alileta uzi alisema jamaa alipata ajali aliangukiwa na vioo so vikawa vimemchana mikono haifanyi kazi na kapelekwa nje kwa matibabu zaidi....