Mke Wa Marehemu Kwa MTAZAMO Wangu Abanwe Vizuri Na Uchunguzi UFANYIKE Kwa Ndani Zaidi, Kwani Kuna Dalili Za Yeye Kuwa ANAHUSIKA!!! Kwani Muda Huo Alikuwa Wapi!!!! USIJE Ikawa Huyo Houseboy Ametekeleza Maagizo Ya Mke Wa MAREHEMU, Kwa MALIPO Hayo Ya Mil 5!! Na Mke Wa MAREHEMU Atarithi Mali Zote, Ndio Maana Huyo Houseboy Hajakimbia Hapo Nyumbani, Ingawa Hiyo Pesa Alizodai Kuzitamani Alizipata, Lkn Alibaki Hapo! Je, KWANINI Hakutoroka!!!??? Huyo Kijana Ametumwa Tu Kazi!! Sasa ANAJARIBU KUFICHA UKWELI Wa Mpango Mzima Wa MAUAJI HAYO!!
Mbona too straight... Jamaa katoa full confesion kirahisi sana.
Too good to be true
Mh yani jamaa hajitambui kabisa ushahidi wote huo nyumbani?? Hiyo damu ya marehemu aliyoimwaga itamwandama sana, unaua mtu kwa mil 5 si ujinga huo
Hapo Mkewe lazima anahusika na mauaji,mwanamama wa 38 bado analipa.
Mke Wa Marehemu Kwa MTAZAMO Wangu Abanwe Vizuri Na Uchunguzi UFANYIKE Kwa Ndani Zaidi, Kwani Kuna Dalili Za Yeye Kuwa ANAHUSIKA!!! Kwani Muda Huo Alikuwa Wapi!!!! USIJE Ikawa Huyo Houseboy Ametekeleza Maagizo Ya Mke Wa MAREHEMU, Kwa MALIPO Hayo Ya Mil 5!! Na Mke Wa MAREHEMU Atarithi Mali Zote, Ndio Maana Huyo Houseboy Hajakimbia Hapo Nyumbani, Ingawa Hiyo Pesa Alizodai Kuzitamani Alizipata, Lkn Alibaki Hapo! Je, KWANINI Hakutoroka!!!??? Huyo Kijana Ametumwa Tu Kazi!! Sasa ANAJARIBU KUFICHA UKWELI Wa Mpango Mzima Wa MAUAJI HAYO!!
RIP Marehemu, lakini pia kitendo cha jeshi la POLISI kulivuta gari mpaka kituo cha POLISI kabla ya kulifanyia ukaguzi wa kina mpaka ndani ya buti la gari ni hatari kubwa.
Maana katika zamana hizi POLISI wanaweza kupeleka bomu likalipuka ndani ya kituo cha POLISI.
Duh aisee wachaga mna kazi
mume.. MCHAGA MKE Itakuwa meru or mbulu lukumay
mume.. MCHAGA MKE Itakuwa meru or mbulu lukumay
Mi maelezo cjayaelewa hata kidogo nmepesi kama Yale ya kukataza kuaga mwili eti kipindupindu. Pole kwa familia na kwa taifa kwa ujumla maana alikua na mengi ya kitaifa Ndo hayupo tayar watoto hawana Baba tena hakuna namna hapo
Huyo mwanamke lazima atakuwa mmachame