Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dah katuondolea pambo
Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Yawezekana ya chini ni ya enzi zake za ubinti.Mbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Kuna sababu big enough ya Kuua? Unless otherwise ni bahati mbaya / hasira au temporary insanityNini sababu..
R.I.P marehemu dah ungejua ungekuwa unamtibu mmeo taratibu ulijua yupo timamu kumbe kichwani hamnazo kaamua kukufanyia ukatiri huu Mungu akupunguzie adhabu ya kaburi Rufina, malipo ni hapa hapa duniani.Mirembe Hospitali inasikitika kuwatangazia kifo cha muuguzi mwenzetu Rufina Komba , ambaye amefariki asubuhi ya leo.
Kifo cha kikatili kwa kukatwa na mapanga na kuchomwa moto na mumewe.
View attachment 2076243
Labda picha ya juu alipiga kwa tecno na picha ya chini walitumia iPhoneMbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?
Muda.wa kaz vs wa bataMbona picha ya chini ni binti na ya juu ni bibi?