Kweli wewe unafaa sana kwenye ushauli wengi hawajui hilo ushauli bora kabisa ongera sanaWanawake punguzeni mdomo mdomo na dharau kwa waume zenu.
Yaani dada zetu siku hizi wanaweza kufanya makosa halafu unaongea nae kistaarabu anakuletea ufidhuli mixer dharau na mdomo mchafu.
Hio 50/50 mkiiendekeza itawaponza.
Hivi mwanaume mwenye akili timamu anaanzaje anzaje kumshikia panga mwanamke mnyenyekevu na mtiifu?
Dogo una vitukoMbona huoi?
Inaonyesha mchaga alikufira mkuu, Yani kila jambo Hadi la wagogo unahusisha wachaga, huyo mchaga mmoja aliyekutenda vibaya msamehe na mtoe moyoniHuyu mmewe sio mchaga kweli Mana si saivi sijui Wana hasira Sana hawana hela sijui.
Ila wao ni matajiri na ni wasomi hata kabla mkoloni hajaja. Inakuwaje.
Ila marehemu pumzika kwa amani. Umetutangulia safari yako umezimaliza ingawa umeondoka kwa uchungu mno jamani.
Khaaa ulioa Gaidi mkuu[emoji26][emoji1783][emoji1783]bora malaika wako hakukuangusha usingeamka sasa hivi tungekuwa tunazungumza mengine!!Wengine wana hasira kali na dukuduku, akidhamiria kitu mpaka akifanye.
Nikiwa na mwanamke wangu wa Kihehe, kuna siku tukazinguana tukapigana. Nikajua yameisha. Wakati tumelala usiku, ghafla nikakurupuka kutoka usingizini, nikamkuta kashika kisu kashikilia dungu langu. Nikamtimua
Hahahahaaaaaaaaa mwaka ulioisha ni moto, mwaka huu mapangaOhoo! Huu mwaka nitatuliza jini langu la mapenzi maana naona watu wanadhibitiana kwa mapanga tu![emoji51]
Pole kwa familia ndugu na jamaa!.
Daaaah asee
Kuna nafasi za kazi Mirembe. We si unajua ngumi mkaldayo?Dogo una vituko
Hahahahaaaa kweli kabisaKuna pepo linapita la kuuana. Wenye wenza tuwe makini kama mwenzio hasomeki bora ukimbie faster
Atakua mchaga wa ruangwa au ungujaHuyu mmewe sio mchaga kweli Mana si saivi sijui Wana hasira Sana hawana hela sijui.
Ila wao ni matajiri na ni wasomi hata kabla mkoloni hajaja. Inakuwaje.
Ila marehemu pumzika kwa amani. Umetutangulia safari yako umezimaliza ingawa umeondoka kwa uchungu mno jamani.
Kunywa bia kreti moja,bili yangu umempa za uso kyasakaInaonyesha mchaga alikufira mkuu, Yani kila jambo Hadi la wagogo unahusisha wachaga, huyo mchaga mmoja aliyekutenda vibaya msamehe na mtoe moyoni
Vipi bwasheeDaaaah asee
Wengine utaolewa lini?Mbona huoi?