johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Hili nalo ni neno! Mamajusi tumeiona nyota ya mashariki.Alikuwa Mbunge wa Singida Mashariki na Anaishi Tegeta Dar es salaam Mashariki si Mwingine ni Mwenyekiti Mpya wa Chadema Mh Tundu Antipasi Lisu
Yanayoendelea Chadema na CCM Kwa sasa yamebeba SIRI kubwa ya Kimungu ndani yake
SIRI ni CCM kuachia madaraka Kwa amani!tutaweza!!?Alikuwa Mbunge wa Singida Mashariki na Anaishi Tegeta Dar es salaam Mashariki si Mwingine ni Mwenyekiti Mpya wa Chadema Mh Tundu Antipasi Lisu
Kwa namna alivyowashinda mabilionea wa Chadema na kuwa Mwenyekiti ndio Muujiza Wenyewe
Yanayoendelea Chadema na CCM Kwa sasa yamebeba SIRI kubwa ya Kimungu ndani yake
Mungu ni mwema wakati wote π
Sahihi kabisaUshindi wa Tundu Lissu Ni afya kwa demokrasia yetu kuwa na upinzani imara. Hii ni wake up call kwenye maeneo yote ambako haki inadhulumiwa na uwajibikaji unadorora Baada ya uchaguzi tunavunja kambi, sasa hivi Tundu Lissu ndiye tegemeo letu wote kuifanya Serikali iwajibike
wanaotegemea majini kwa hisani shekhe wetu itakuwaje?Alikuwa Mbunge wa Singida Mashariki na Anaishi Tegeta Dar es salaam Mashariki si Mwingine ni Mwenyekiti Mpya wa Chadema Mh Tundu Antipasi Lisu
Kwa namna alivyowashinda mabilionea wa Chadema na kuwa Mwenyekiti ndio Muujiza Wenyewe
Yanayoendelea Chadema na CCM Kwa sasa yamebeba SIRI kubwa ya Kimungu ndani yake
Mungu ni mwema wakati wote π
Herode akataka kuwahonga Ili wamletee habari za mtoto aliyezaliwaHili nalo ni neno! Mamajusi tumeiona nyota ya mashariki.
Shetani ameruhusiwa na Mungu wa mbinguni Kuwa MjaribuCCM kuna mashetani tupu
Madaraka yataachiwa Kwa Sanduku la kuraSIRI ni CCM kuachia madaraka Kwa amani!tutaweza!!?
Yapo kuiba mali za umma na ujinga mwingineShetani ameruhusiwa na Mungu wa mbinguni Kuwa Mjaribu
Tangu kikwete 2005 hakuna Raise mwingine alieshinda Kwa kura !Madaraka yataachiwa Kwa Sanduku la kura
CCM imewanunulieni Jengo la Makao makuu Mikocheni πYapo kuiba mali za umma na ujinga mwingine
Walishindwa Kwa nini? πΌTangu kikwete 2005 hakuna Raise mwingine alieshinda Kwa kura !
Kodi za watanzaniaCCM imewanunulieni Jengo la Makao makuu Mikocheni π
Walikuwa wanamsifia kwa sababu ya matumbo Yao ila ukweli walikuwa wanaojua ila kwa kwa sababu walikuwa machawa wake walikuwa hawana namnaAlikuwa Mbunge wa Singida Mashariki na Anaishi Tegeta Dar es salaam Mashariki si Mwingine ni Mwenyekiti Mpya wa Chadema Mh Tundu Antipasi Lisu
Kwa namna alivyowashinda mabilionea wa Chadema na kuwa Mwenyekiti ndio Muujiza Wenyewe
Yanayoendelea Chadema na CCM Kwa sasa yamebeba SIRI kubwa ya Kimungu ndani yake
Mungu ni mwema wakati wote π