johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Alikuwa Mbunge wa Singida Mashariki na Anaishi Tegeta Dar es salaam Mashariki si Mwingine ni Mwenyekiti Mpya wa Chadema Mh Tundu Antipasi Lisu
Kwa namna alivyowashinda mabilionea wa Chadema na kuwa Mwenyekiti ndio Muujiza Wenyewe
Yanayoendelea Chadema na CCM Kwa sasa yamebeba SIRI kubwa ya Kimungu ndani yake
Mungu ni mwema wakati wote 😀
Kwa namna alivyowashinda mabilionea wa Chadema na kuwa Mwenyekiti ndio Muujiza Wenyewe
Yanayoendelea Chadema na CCM Kwa sasa yamebeba SIRI kubwa ya Kimungu ndani yake
Mungu ni mwema wakati wote 😀