secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Masanja alikuwa anapiga mama Lwaka....!!??Huyu kama alikuwa anapiga mama lwakatare atashindwaje zigo kama hili.
duuh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Masanja alikuwa anapiga mama Lwaka....!!??Huyu kama alikuwa anapiga mama lwakatare atashindwaje zigo kama hili.
[emoji38][emoji38][emoji38]
Kutoboa maisha si mchezo ni sawa na kupita kwenye moto wa tanuli.Masanja alikuwa anapiga mama Lwaka....!!??
duuh
Kuna jamaa wa nchi ya jirani hapo alifunga zaidi ya makanisa 700 nchini kwake na akaweka sheria ya uwe atleast na degree 1 ya theology ili uweze kuhubiri.
Kwa hiyo ulibidi amtoboe kwanza Maza!?Kutoboa maisha si mchezo ni sawa na kupita kwenye moto wa tanuli.
Watu wanamchezea MUNGU hatari. Hawajali ni nini mbele. Anachojali yeye pesa pesa pesa kapataje,iwe kwa kutumia neno la MUNGU vibaya ama vyovyote ili mradi apige hela. Yoyote utakaemuona anamiliki kanisa la kwake hao wote ni tamaa ya pesa tu ujue hakuna neno hapoMm sitaki kumshirikisha Sir God kwenye dhambi zangu,
Hapana aiseee
Sent from my V2027 using JamiiForums mobile app
There you are Sir, you nailed it 👏🙌Anafanya Negotiation na Container la ngada.
[emoji849][emoji15]Huyu kama alikuwa anapiga mama lwakatare atashindwaje zigo kama hili.
Daaa waumini wake kwa style hii vicheko haviwazidi kweli!
Duuuhhh!!!...Huyu kama alikuwa anapiga mama lwakatare atashindwaje zigo kama hili.