Pre GE2025 Muundo wa Tume Huru ya Uchaguzi

Pre GE2025 Muundo wa Tume Huru ya Uchaguzi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Shida yako huwa hujibu comments za watu
Na hilo ndio tatizo kubwa ambalo linafanya baadhi ya wenzetu hawa wawe wanadharauliwa.
Umeleta hoja nzuri na watu wanajadili mawazo yako hivyo wakiuliza mahali usi kae kimya maana wanaona ni dharau na unafanya kuwa yako sio maoni bali ni AMRI.
Sasa nami nakuamuru Mdude_Nyagali rudi ujibu na kutoa ufafanuzi wa mawazo yako haya kabla hawajaharibu thread hii.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Hao wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya jimbo hata ikitokea wanatokana kwa kuomba kura bado watakua chini ya mwamvuli wa ma DC na DED ambao watahitaji ushirikiano maana ndio wasimamizi wakuu wa ulinzi na usalama wa maeneo husika. Huoni kuna namna kutatokea ushindani wa kimaslahi?

Tume huru itaonekana mpaka itakapopatikana katiba mpya
 
Na hilo ndio tatizo kubwa ambalo linafanya baadhi ya wenzetu hawa wawe wanadharauliwa.
Umeleta hoja nzuri na watu wanajadili mawazo yako hivyo wakiuliza mahali usi kae kimya maana wanaona ni dharau na unafanya kuwa yako sio maoni bali ni AMRI.
Sasa nami nakuamuru Mdude_Nyagali rudi ujibu na kutoa ufafanuzi wa mawazo yako haya kabla hawajaharibu thread hii.

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
Sahihi kabisa ukileta thread jibu na comments za wadau
 
Hao wasimamizi wa uchaguzi ngazi ya j8mbo hata ikitokea wanatokana kwa kuomba kura bado watakua chini ya mwamvuli wa ma DC na DED ambao watahitaji ushirikiano maana ndio wasimamizi wakuu wa ulin,i na usalama wa maeneo husika. Huoni kuna namna kutatokea ushindani wa kimaslahi?

Tume huru itaonekana mpaka itakapopatikana katiba mpya
Sahihi kabisa
 
Ndugu zangu niwaambie hivi Tanzania haijawahi kuwa na Uchaguzi, kinachofanyikaga ni kuwahandaa wananchi - yaani naweza kusame kwamba atakayeteuliwa na CCM 2025 kugombea URAIS ndiye atakayekuwa Rais wa nchi.
Hivyo viini macho vya marekebisho ya Sheria za uchaguzi ni muelendelezo tu wa kucheza na akili za wananchi.

Kuhusu madiwani na wabunge wa upinzani, hapo watachangua wangapi washinde upande wa upinzani na wepi waenguliwe - mara nyingi wale wasumbufu ndiyo wataenguliwa na Tume mapemaa, afu wataambiwa waende mahakamani, by the time kesi inafunguliwa uchaguzi ushaisha na tume ishamaliza kazi yake.

Bado tupo nyuma saana saaana kuifikia demokrasia tunayoimba mitandaoni.
 
Back
Top Bottom