sizani hatakama wanaweza standUp comedy haoNakuunga mkono mdau!Kukatana mtama na kukimbizana eti ndio komedi ya futuhi.Mshiriki yoyote wa hili kundi ufahamu wake wa komedi unaishia hapo kwenye kufukuzana na kupigana.
Mizengwe wao anafanya komedi ya kweli ingawa saa nyingine wanaingia kwenye upuuzi unaofanana na futuhi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Mkombe wakulichombe mnywa pombe kwenye kikombe ukimkuta bar usimuombe msubiri nyumban akupe embe
Hata mm kingwendu simuelew kbs hachekeshi kbsKingwendu hapana,mi nahisi anafosi ucheke ila si mchekeshaji mzuri
Kuna hawa waliochipukia kama ramsoleen dah huyu jamaa ni shida
ha ha ha!!! majuto kawashika akina mama huko mitaaaniWachekeshaji hapa nchini kwangu mimi ni wawili tu Ringo na Mack wengine hao hata achekeshe amevua nguo nitamwona kama hana akili, mmoja wapo ni mzee majuto mimi simwelewi na sitamwelewa
Kitambo tu, kutuma picha kunahusiana na kipindi cha kuzaliwa?umezaliwa miaka gani wewe
Stand-up comedy ni utaalamu wa hali ya juu sana mkuu, hawa wakunja uso wa kuchekacheka hawawezi!sizani hatakama wanaweza standUp comedy hao
Wachekeshaji hapa nchini kwangu mimi ni wawili tu Ringo na Mack wengine hao hata achekeshe amevua nguo nitamwona kama hana akili, mmoja wapo ni mzee majuto mimi simwelewi na sitamwelewa
Yupo Radio Jembe FM MwanzaBabu mkombe
wakulichombe,
mpenda pombe,
Kwa kikombe,
ukinikuta baa mbele ya wapambe,
usiniombe pombe......
[emoji23] alipotelea wapi sijui huyu mzee