Muungano kama Muungano

Muungano kama Muungano

Tanganyika imevaa koti la Muungano!. Tangu lini Muungano wa nchi 2 zilizokuwa huru ziliungana halafu zikaendelea kuwa nchi mbili zenye wakuu wa nchi wa wawili?. Tanganyika ipo na itaendelea kuwepo ikiwa imevaa koti la Muungano.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amemteua ............. kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar.
Rais wa Zanzibar ni mvamizi aliyewekwa na Magufuli kawaleta wavamizi wenzake kutoka Tanganyika na kuwaweka kwenye mawizara na idara Za serikali
 
Muungano ni kitu kizuri sana hasa pale mnaoungana mna nia moja ya kuungana lakini mnapoungana halafu mmoja aone changu changu na cha kwako cha wote lazima kutakuwa na dosari.
Muungano wetu kwa kiasi kikubwa umeharibiwa na ccm. Nyerere alifikiri tukifika kipindi tutawaza kuwa nchi moja kumbe wengine wanahangaika na kero za muungano.
 
Back
Top Bottom