Tanganyika imevaa koti la Muungano!. Tangu lini Muungano wa nchi 2 zilizokuwa huru ziliungana halafu zikaendelea kuwa nchi mbili zenye wakuu wa nchi wa wawili?. Tanganyika ipo na itaendelea kuwepo ikiwa imevaa koti la Muungano.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi amemteua ............. kuwa Mkurugenzi wa Shirika la Utangazaji Zanzibar.