johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Ni Simba SC imetafutiwa faraja na sasa itakuwa bingwa wa Muungano kwa mashindano ya Mechi mbili tu
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Simba LAZIMA isemwe la sivyo mpira Tanzania haunogi.Kwa hali anayopitia Simba nadhani tusimseme anapaswa kutiwa moyo maana Jana yenyewe nusra waende matuta
😂😂😂Kwa hali anayopitia Simba nadhani tusimseme anapaswa kutiwa moyo maana Jana yenyewe nusra waende matuta
Ndio kombe pekee lilobaki kulipigania msimu huu hata angepewa bila kucheza ingekuwa haki yao mkuu!Ni Simba SC imetafutiwa faraja na sasa itakuwa bingwa wa Muungano kwa mashindano ya Mechi mbili tu
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥
Timu inakuwa na kiongozi anaitwa Try again. Halafu utegemee mafanikio. Kila msimu ni kushindwa na ku-try again tuNi Simba SC imetafutiwa faraja na sasa itakuwa bingwa wa Muungano kwa mashindano ya Mechi mbili tu
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥




kwanza kabisa mimi siyo mshabiki wa timu yoyote zaidi ya Taifa Star. Ila wasimamizi wa mpira kwa sasa wanasikitisha mno. Simba alikuwa anamchezo mmoja nyuma ya Yanga na miwili nyuma ya Azam. Badala ya kuwezesha Simba wamalize viporo vya wao wameona timu zingine ziendelee la ligi na Simba waende Zanzibar.Nimesikitishwa sana na yaliyotokea juzi na jana maana mpira wa Yanga sikuona sababu ya mpira kuchezwa na hali ya mvua ila walilazimishwa jana kucheza na hali ya uwanja haikuwa sawa kabisa kucheza mpira.Ila wasiamamizi waliacha kwa hali ambayo ilikuwa shida kwa wachezaji kushindwa cheza kwa ufanisi zaidi.Ni Simba SC imetafutiwa faraja na sasa itakuwa bingwa wa Muungano kwa mashindano ya Mechi mbili tu
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥
Ndumbaro, MwanaFA na Karia wote ni Simba SC 😀kwanza kabisa mimi siyo mshabiki wa timu yoyote zaidi ya Taifa Star. Ila wasimamizi wa mpira kwa sasa wanasikitisha mno. Simba alikuwa anamchezo mmoja nyuma ya Yanga na miwili nyuma ya Azam. Badala ya kuwezesha Simba wamalize viporo vya wao wameona timu zingine ziendelee la ligi na Simba waende Zanzibar.Nimesikitishwa sana na yaliyotokea juzi na jana maana mpira wa Yanga sikuona sababu ya mpira kuchezwa na hali ya mvua ila walilazimishwa jana kucheza na hali ya uwanja haikuwa sawa kabisa kucheza mpira.Ila wasiamamizi waliacha kwa hali ambayo ilikuwa shida kwa wachezaji kushindwa cheza kwa ufanisi zaidi.
Mwenyekiti wao naye eti anaitwa Chief Mangungo!Timu inakuwa na kiongozi anaitwa Try again. Halafu utegemee mafanikio. Kila msimu ni kushindwa na ku-try again tu![]()
TFF waliwaita Yanga na kuwaomba wasndike barua ya kuomba kutoshiriki😂, ili Kombe liende kwa Simba. Azam wenyewe wameagizwa kuchezesha kikosi cha kujaribu wachezaji wasiopata namba siku wakikutana na Simba😂Ni Simba SC imetafutiwa faraja na sasa itakuwa bingwa wa Muungano kwa mashindano ya Mechi mbili tu
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥
Hv hy try again Ni Jina lake la Nida au la utani.?Timu inakuwa na kiongozi anaitwa Try again. Halafu utegemee mafanikio. Kila msimu ni kushindwa na ku-try again tu![]()
Yanga wenyewe ndio waliokataa, TFF na bodi hawahusiki, acha mihemkoAfu kigezo Cha fmTff na bodi ya ligi "eti" Yanga hashiriki kwasababu ya ratiba ya viporo?, hivi Kati ya Simba na Yanga ambaye alipaswa kuendelea kucheza mechi za ligi ni nani?, Simba ana viporo 3 Kwanini asicheze viporo vyake?. Na hawalipati hilo kombe la mchongo.....
Ukiwa shabiki wa soka la bongo ni lazima uwe na matatizo ya akili 🗑️TFF waliwaita Yanga na kuwaomba wasndike barua ya kuomba kutoshiriki😂, ili Kombe liende kwa Simba. Azam wenyewe wameagizwa kuchezesha kikosi cha kujaribu wachezaji wasiopata namba siku wakikutana na Simba😂
Umeamua kushabikia ukiwa Burundi?Ukiwa shabiki wa soka la bongo ni lazima uwe na matatizo ya akili 🗑️