Mbaga Jr
JF-Expert Member
- May 28, 2018
- 29,028
- 69,666
Mm sio shabiki wa timu yoyote ya hapa TZUmeamua kushabikia ukiwa Burundi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mm sio shabiki wa timu yoyote ya hapa TZUmeamua kushabikia ukiwa Burundi?
Ni wewe tu ndio huna akili unashidwa kutofautisha kati ya winner na championMashabiki wa mpira wa bongo mna matatizo ya akili, mbona community shield bingwa anajulikana kwa mechi moja.
Kwahy utofauti hapo n upi.? Hao wote c washindi auNi wewe tu ndio huna akili unashidwa kutofautisha kati ya winner na champion
Kuna tofauti fanya researchKwahy utofauti hapo n upi.? Hao wote c washindi au
Sawa, kumbe winner na champion mmoja ni mshindi na mwingine ni kibonde 😂Kuna tofauti fanya research
Ni ngumu sana kuendesha team tz hapa ni genge la watu wanakaa na kuamua hiki kiwe vile na kile kiwe hivikwanza kabisa mimi siyo mshabiki wa timu yoyote zaidi ya Taifa Star. Ila wasimamizi wa mpira kwa sasa wanasikitisha mno. Simba alikuwa anamchezo mmoja nyuma ya Yanga na miwili nyuma ya Azam. Badala ya kuwezesha Simba wamalize viporo vya wao wameona timu zingine ziendelee la ligi na Simba waende Zanzibar.Nimesikitishwa sana na yaliyotokea juzi na jana maana mpira wa Yanga sikuona sababu ya mpira kuchezwa na hali ya mvua ila walilazimishwa jana kucheza na hali ya uwanja haikuwa sawa kabisa kucheza mpira.Ila wasiamamizi waliacha kwa hali ambayo ilikuwa shida kwa wachezaji kushindwa cheza kwa ufanisi zaidi.
[emoji1][emoji1][emoji1]Simba LAZIMA isemwe la sivyo mpira Tanzania haunogi.
Kwa mjibu wakoSawa, kumbe winner na champion mmoja ni mshindi na mwingine ni kibonde [emoji23]
Huna akiliNi Simba SC imetafutiwa faraja na sasa itakuwa bingwa wa Muungano kwa mashindano ya Mechi mbili tu
Ni Tanzania pekee 😂😂😂🔥
Siyo kombe ni ngao. Kama habari za mtani jembe. Kombe ni kitu kikubwa.Mashabiki wa mpira wa bongo mna matatizo ya akili, mbona community shield bingwa anajulikana kwa mechi moja.
Kwahy ngao sio ushindi.?Siyo kombe ni ngao. Kama habari za mtani jembe. Kombe ni kitu kikubwa.