Maisha hupangi wewe hakuna anaejua ya mbele la zaidi kama kweli tunapendana ni kuombeana kheri sote sio kutofautiana kisa siasa tuacheni hayo tuomben amani tu
Hakuna jipya wala haiogopeshi.tangu kuumbwa hakuna talaka inayoombwa bila kuweko walau lugha chafu......kebehi.....kejeli......laana.....kubeza na kadhalika!hii ni kama therapy flani for treating frustration.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.