Muungano; Tanzania inaenda zake Wazanzibari wata itamani irudi na haitarudi ng“o

Muungano; Tanzania inaenda zake Wazanzibari wata itamani irudi na haitarudi ng“o

Maisha hupangi wewe hakuna anaejua ya mbele la zaidi kama kweli tunapendana ni kuombeana kheri sote sio kutofautiana kisa siasa tuacheni hayo tuomben amani tu
 
Hakuna jipya wala haiogopeshi.tangu kuumbwa hakuna talaka inayoombwa bila kuweko walau lugha chafu......kebehi.....kejeli......laana.....kubeza na kadhalika!hii ni kama therapy flani for treating frustration.
 
ukiona inangaraa
nangariaa chumbeee
zanzibar ileee ya home

pole jirani umeazisha soo kwaheri nakwenda zangu
tangu pinda aliposema znz si nchi wazenj hatutulii mpaka tuuvunje.
 
Kwaheri zenjiiiii

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom