Muungano unawanyonya Watanganyika

Muungano unawanyonya Watanganyika

NINI MAONI YAKO KUHUSU MUUNGANO?

  • MUUNGANO UNAINUFAISHA ZAIDI TANGANYIKA

    Votes: 0 0.0%
  • SIJUI

    Votes: 0 0.0%

  • Total voters
    12
  • Poll closed .

Mandela5599

Member
Joined
Jul 28, 2020
Posts
93
Reaction score
306
Kwamba Zanzibar inawatu milioni moja na nusu, inawabunge 80 kwenye bunge la jamhuri ya muungano, wanalipwa posho na stahiki zote sawa na mbunge mwingine yoyote

Mkoa wa Tanga unawatu milioni 2 na laiki mbili,kwa idadi ya watu Tanga inawazidi Zanzibar kwa zaidi ya watu milioni moja. Tanga ina wabunge 15, kati yao wakuchaguliwa nu 13 na 2 wa viti maalumu

Zanzibar ina Rais wake, Tanganyika haina

Wana bunge lao, Tanganyika haina
Mtu wao anaweza kuwa Rais huku Tanganyika lakini haitakaa itokee mtanganyika akaitawalaZanzibar

Tanganyika inapitia wakati mgumu sana
 
Huyu mama anaiba fedha toka Tanganyika na kufanya kufuru Zanzibar

1. Majengo ya zahanati, misikiti, shule za msingi na sekondari yote yanabamolewa na kujengwa maghorofa.
2. Vibarabara vyao vingi pale Unguja vinajengewa flyovers.
3. Bandari kubwa sana inajengwa Magapwani.
4. Uwanja wa ndege wa kisasa umejengwa Unguja na kuwekewa miundombinu na vifaa vya kisasa..
5. Anabeba wanyama na kuwapeleka Kizimkazi ambako anaanzisha zoo.
 
Hata Bunge lenyewe lina wabunge wengi ambao hawana faida.Jimbo kama la Tanga lilitakiwa liwe na wabunge 5 tu.
Uchumi wetu wenyewe wa kudidimia lakini tuna wabunge wengi kama nzige wasio kuwa na faida
Well said, wabunge 15 niwengi sana
 
Kwamba Zanzibar inawatu milioni moja na nusu, inawabunge 80 kwenye bunge la jamhuri ya muungano, wanalipwa posho na stahiki zote sawa na mbunge mwingine yoyote

Mkoa wa Tanga unawatu milioni 2 na laiki mbili,kwa idadi ya watu Tanga inawazidi Zanzibar kwa zaidi ya watu milioni moja. Tanga ina wabunge 15, kati yao wakuchaguliwa nu 13 na 2 wa viti maalumu

Zanzibar ina Rais wake, Tanganyika haina

Wana bunge lao, Tanganyika haina
Mtu wao anaweza kuwa Rais huku Tanganyika lakini haitakaa itokee mtanganyika akaitawalaZanzibar

Tanganyika inapitia wakati mgumu sana
Zanzibar ni koloni la Bara, amini usiamini, na tutaendekea kulikalia koloni hili ,mpaka siku wazanziabari wakijitambua.

Kuhusu Rais ni Dr Hussein Mwinyi, anatawala Zanzibar, alikuwa waziri wa Ulinzi kabla ya kuwa Rais, akipitia jimbo la Tanzania bara, kwahiyo nakuktalia uliposema mtu wa bara hawezi kuwa Rais Zanzibar.

Babake Ali Hassan Mwinyi, ni Mtu wa Mkuranga Tanzania Bara huo ndio Ukweli.

Marais wote wa Zanzibar wanawekwa na Bara na kuondolewa na Bara.


Abdu Jumbe Mwinyi nalikuwa Rais wa Zanzibar lakini kutoka Bara, na hata alipoondolewa nakutano wa Dodoma, aliishi KIGAMBONI kwa mbele KIDOGO!!
 
Kwamba Zanzibar inawatu milioni moja na nusu, inawabunge 80 kwenye bunge la jamhuri ya muungano, wanalipwa posho na stahiki zote sawa na mbunge mwingine yoyote

Mkoa wa Tanga unawatu milioni 2 na laiki mbili,kwa idadi ya watu Tanga inawazidi Zanzibar kwa zaidi ya watu milioni moja. Tanga ina wabunge 15, kati yao wakuchaguliwa nu 13 na 2 wa viti maalumu

Zanzibar ina Rais wake, Tanganyika haina

Wana bunge lao, Tanganyika haina
Mtu wao anaweza kuwa Rais huku Tanganyika lakini haitakaa itokee mtanganyika akaitawalaZanzibar

Tanganyika inapitia wakati mgumu sana
Nipeni nchi halafu muone! Ndani ya mwaka mmoja wa uongozi wangu nikiwa kama Rais, nitawapa hao Wazanzibari ultimatum moja tu;

1. Wachague hivyo visiwa vyao kugeuka na kuwa Mikoa miwili ya Tanzania! Yaani Mkoa wa Unguja na Mkoa wa Pemba! Au Muungano uvunjwe, na hivyo kila nchi kujitegemea kivyake kwa 100%.

Ila siyo kuendelea na huu Muungano wa hovyo na wa kinyonyaji.
 
Zanzibar ni koloni la Bara, amini usiamini, na tutaendekea kulikalia koloni hili ,mpaka siku wazanziabari wakijitambua.

Kuhusu Rais ni Dr Hussein Mwinyi, anatawala Zanzibar, alikuwa waziri wa Ulinzi kabla ya kuwa Rais, akipitia jimbo la Tanzania bara, kwahiyo nakuktalia uliposema mtu wa bara hawezi kuwa Rais Zanzibar.

Babake Ali Hassan Mwinyi, ni Mtu wa Mkuranga Tanzania Bara huo ndio Ukweli.

Marais wote wa Zanzibar wanawekwa na Bara na kuondolewa na Bara.


Abdu Jumbe Mwinyi nalikuwa Rais wa Zanzibar lakini kutoka Bara, na hata alipoondolewa nakutano wa Dodoma, aliishi KIGAMBONI kwa mbele KIDOGO!!
Acha kujipa moyo Comrade! Zanzibar ni Kupe tu kwa Tanganyika. Ingekuwa ni Koloni letu, basi Tanganyika ingenufaika kwa kupata malighafi, nk. za kuendeleza uchumi wake. Ila ukija kwenue uhalisia, mambo ni tofauti kabisa.

Zanzibari kwa Tanganyika, ni mzigo tu kutokana na uwepo wa Muungano usio na usawa. Kiufupi tuna Muungano wa changu changu, chako changu. Wazanzibari ndiyo wanufaika wakuu wa huu Muungano.
 
Huyu mama anaiba fedha toka Tanganyika kufanya kufuru Zanzibar

1. Majengo ya zahanati, misikiti, shule za msingi na sekondari yote yanabamolewa na kujengwa maghorofa.
2. Vibarabara vyao vingi pale Unguja vinajengewa flyovers.
3. Bandari kubwa sana inajengwa Magapwani.
4. Uwanja wa ndege wa kisasa umejengwa Unguja na kuwekewa miundombinu na vifaa vya kisasa..
5. Anabeba wanyama na kuwapeleka Kizimkazi ambako anaanzisha zoo.
Miradi karibu yote ulioorodhesha ni PPP sio pesa za kodi. Soma kabla ya kuongea
 
Kwamba Zanzibar inawatu milioni moja na nusu, inawabunge 80 kwenye bunge la jamhuri ya muungano, wanalipwa posho na stahiki zote sawa na mbunge mwingine yoyote

Mkoa wa Tanga unawatu milioni 2 na laiki mbili,kwa idadi ya watu Tanga inawazidi Zanzibar kwa zaidi ya watu milioni moja. Tanga ina wabunge 15, kati yao wakuchaguliwa nu 13 na 2 wa viti maalumu

Zanzibar ina Rais wake, Tanganyika haina

Wana bunge lao, Tanganyika haina
Mtu wao anaweza kuwa Rais huku Tanganyika lakini haitakaa itokee mtanganyika akaitawalaZanzibar

Tanganyika inapitia wakati mgumu sana
UWT waje Jf watoe majibu!
 
Solution ya huu muungano ni kupambana CCM visiwani iwe chama cha upinzani.
2. Tukimaliza vijana wote bila kujali vyama vyao, bara wajiunge kuwa CCM, ili kuwang'oa vibabu ndani ya chama, then vijana wakichukua ccm waukatae muungano.
 
Kwamba Zanzibar inawatu milioni moja na nusu, inawabunge 80 kwenye bunge la jamhuri ya muungano, wanalipwa posho na stahiki zote sawa na mbunge mwingine yoyote

Mkoa wa Tanga unawatu milioni 2 na laiki mbili,kwa idadi ya watu Tanga inawazidi Zanzibar kwa zaidi ya watu milioni moja. Tanga ina wabunge 15, kati yao wakuchaguliwa nu 13 na 2 wa viti maalumu

Zanzibar ina Rais wake, Tanganyika haina

Wana bunge lao, Tanganyika haina
Mtu wao anaweza kuwa Rais huku Tanganyika lakini haitakaa itokee mtanganyika akaitawalaZanzibar

Tanganyika inapitia wakati mgumu sana

Hizo pesa mnazowapa wabunge kuendeleza kututawala kwa mabavu haziwezi kulipia Roho ya mtu mmoja tu mnayemuuwa kila uchaguzi kulazimisha kuwaweka Hao wabunge mnaowalipa
 
Acha kujipa moyo Comrade! Zanzibar ni Kupe tu kwa Tanganyika. Ingekuwa ni Koloni letu, basi Tanganyika ingenufaika kwa kupata malighafi, nk. za kuendeleza uchumi wake. Ila ukija kwenue uhalisia, mambo ni tofauti kabisa.

Zanzibari kwa Tanganyika, ni mzigo tu kutokana na uwepo wa Muungano usio na usawa. Kiufupi tuna Muungano wa changu changu, chako changu. Wazanzibari ndiyo wanufaika wakuu wa huu Muungano.
Inakuwaje mnakuja kuuwa watu wakati wa uchaguzi kulazimisha kuwaweka vibaraka wenu ? Au ndiyo mnapenda kujibebesha Huo mzigo?
 
Wenye uwezo wa kuuvunja muungana kwa njia ya demokrasia ni vijana TU.
Vijana wote bila kujali vyama , wajiunge wawe CCM, ili kipindi cha uchaguzi wajichague kuunda uongozi wa chama , ili waje wauvunje huo ujinga.
 
Back
Top Bottom