Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na historia ya Mongolia na China

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na historia ya Mongolia na China

Mi mi

JF-Expert Member
Joined
Jul 14, 2024
Posts
2,748
Reaction score
5,112
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na somo la Wamongol kuwatawala wachina na baadae wao kutawaliwa mpaka leo.

Pale ambapo jamii moja ya watu hufurahia kuwatawala jamii nyingine ya watu kikoloni katika eneo lao kwa tafsiri ya Muungano jamii tawaliwa pale itakapo twaa madaraka maumivu ya kutawaliwa huwafikia pia ile jamii iliyotawala awali.

Wamongol waliivamia China miaka ya kale chini ya Kublai khan katika historia ya China ilikuwa kwa mara ya kwanza jamii nje ya wachina kuwatawala wachina haikuwa rahisi kwa wa Mongol kuwatawala wachina hivyo iliwaradhimu wao kiasi kikubwa kubadili tamaduni zao na kufuata mtindo mpya wa maisha ilikuweza kuitawala China yote vyema.

Wamongol katika kuitawala China wakaiunganisha China na eneo lao la Mongolia ili wawe na empire kubwa hili lilikuwa kosa la kwanza kubwa wao kufanya.

Siku zikaenda miaka ikasonga falme ya kimongol ikaangushwa na wachina wakarudi kuitawala China yao ambayo ikawa na eneo kubwa zaidi jamii ya Wamongol nayo ikawa tawaliwa muda mrefu.

katika wakati China ikaingia katika vita vingi hivyo Wamongol wakaona ni muda sahihi wao kusaka uhuru kutoka China kwa makosa waliofanya babu zao waliambulia kupata baadhi ya maeneo yao kwa msaada wa warusi huku maeneo mengine yakibaki uchina zishukuriwe vita zilizokuwa zimetapakaa China maana zilikuwa msaada kwao hata kupata chochote kitu bila hivyo mpaka leo wangeendelea kuwa katika miliki ya Uchina.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na somo la Wamongol[ Watanganyika] kuwatawala Wazanzibar kwa koti la Tanzania ambalo linaanza kuwabana sasa Watanganyika wao wenyewe baada ya Mzanzibari kutwaa madaraka maana hii haikuzoeleka sasa maumuzi ya kutawaliwa kwa kiasi wanaanza kuyahisi mpaka mwamko wa kudai nchi yao umeanza ndani yao.

Yote haya ni matokeo ya taifa moja kulitawala taifa lingine kwa koti la muungano kama wa Mongol kwa wachina mwisho huwa ni maumivu.

Si ajabu miaka ijayo Tanganyika& Watanganyika kuanza kudai maeneo yao yaliyo potea.
 
Duuuuh hii hatari,ila wa visiwani wanapata nguvu kutoka kwa watu wa pwani maana wana vinasaba nao,watu wa pwani hawawezi wakakubali muungano uvunjike,kazi ipo sisi wa bara
 
Ushawahi kufika Zanzibar mkuu

Wazenji hawana shule kabisa....

Wazenji kamwe hawezi kuitawala bara hata kama tukiwapa mapolice wote pamoja na jeshi.....

Wazenji ni dhaifu sana kwenye mishe za kutumia nguvu na akili.......

Zanzibar ni kubayaaa bora uishiii Tanga na sio zenji kuna watu wamechoka kuanziā sura, mavaz, mpaka kula yao shida

Zanzibār inabebwa na wageni kama vile wahindi, Wazungu,waarabu yaani wataliii ma aforeigner ndo wanauchumi mzuri wa maisha ila wenyeni chokaa mbayaa alafu wabayaaa wa sura mpaka maumbo

.....noted.....
 
Wazanzibar ni wajanja sana,kero za Muungano ndo kichaka cha kutawala Tanganyika na kuchota vya Tanganyika kujenga Zanzibar na vya Zanzibar kujenga Zanzibar only.

Wajinga ndo waliwao.
 
Wanywa urojo tuliwameza na tutawatema wenyewe huu uraisi wa bibi chaudele umetokea kwa bahati mbaya sana tuu shetani aliingilia kati
 
Ushawahi kufika Zanzibar mkuu

Wazenji hawana shule kabisa....

Wazenji kamwe hawezi kuitawala bara hata kama tukiwapa mapolice wote pamoja na jeshi.....

Wazenji ni dhaifu sana kwenye mishe za kutumia nguvu na akili.......

Zanzibar ni kubayaaa bora uishiii Tanga na sio zenji kuna watu wamechoka kuanziā sura, mavaz, mpaka kula yao shida

Zanzibār inabebwa na wageni kama vile wahindi, Wazungu,waarabu yaani wataliii ma aforeigner ndo wanauchumi mzuri wa maisha ila wenyeni chokaa mbayaa alafu wabayaaa wa sura mpaka maumbo

.....noted.....
Unajidanganya mkuu
Wazenj sio dhaifu kama ulivyosema.

Ukitaka kujua wazenj sio dhaifu tembelea kile kipindi cha uchaguzi mkuu uwone Polisi wanavyopata tabu

Au Ingia youtube videos zipo za kutosha
 
Ushawahi kufika Zanzibar mkuu

Wazenji hawana shule kabisa....

Wazenji kamwe hawezi kuitawala bara hata kama tukiwapa mapolice wote pamoja na jeshi.....

Wazenji ni dhaifu sana kwenye mishe za kutumia nguvu na akili.......

Zanzibar ni kubayaaa bora uishiii Tanga na sio zenji kuna watu wamechoka kuanziā sura, mavaz, mpaka kula yao shida

Zanzibār inabebwa na wageni kama vile wahindi, Wazungu,waarabu yaani wataliii ma aforeigner ndo wanauchumi mzuri wa maisha ila wenyeni chokaa mbayaa alafu wabayaaa wa sura mpaka maumbo

.....noted.....
Hizi ni hasira.
 
Ushawahi kufika Zanzibar mkuu

Wazenji hawana shule kabisa....

Wazenji kamwe hawezi kuitawala bara hata kama tukiwapa mapolice wote pamoja na jeshi.....

Wazenji ni dhaifu sana kwenye mishe za kutumia nguvu na akili.......

Zanzibar ni kubayaaa bora uishiii Tanga na sio zenji kuna watu wamechoka kuanziā sura, mavaz, mpaka kula yao shida

Zanzibār inabebwa na wageni kama vile wahindi, Wazungu,waarabu yaani wataliii ma aforeigner ndo wanauchumi mzuri wa maisha ila wenyeni chokaa mbayaa alafu wabayaaa wa sura mpaka maumbo

.....noted.....
Unataka wakutawaleje ndiyo ujue kuwa wanakutawala?
 
Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na somo la Wamongol kuwatawala wachina na baadae wao kutawaliwa mpaka leo.

Pale ambapo jamii moja ya watu hufurahia kuwatawala jamii nyingine ya watu kikoloni katika eneo lao kwa tafsiri ya Muungano jamii tawaliwa pale itakapo twaa madaraka maumivu ya kutawaliwa huwafikia pia ile jamii iliyotawala awali.

Wamongol waliivamia China miaka ya kale chini ya Kublai khan katika historia ya China ilikuwa kwa mara ya kwanza jamii nje ya wachina kuwatawala wachina haikuwa rahisi kwa wa Mongol kuwatawala wachina hivyo iliwaradhimu wao kiasi kikubwa kubadili tamaduni zao na kufuata mtindo mpya wa maisha ilikuweza kuitawala China yote vyema.

Wamongol katika kuitawala China wakaiunganisha China na eneo lao la Mongolia ili wawe na empire kubwa hili lilikuwa kosa la kwanza kubwa wao kufanya.

Siku zikaenda miaka ikasonga falme ya kimongol ikaangushwa na wachina wakarudi kuitawala China yao ambayo ikawa na eneo kubwa zaidi jamii ya Wamongol nayo ikawa tawaliwa muda mrefu.

katika wakati China ikaingia katika vita vingi hivyo Wamongol wakaona ni muda sahihi wao kusaka uhuru kutoka China kwa makosa waliofanya babu zao waliambulia kupata baadhi ya maeneo yao kwa msaada wa warusi huku maeneo mengine yakibaki uchina zishukuriwe vita zilizokuwa zimetapakaa China maana zilikuwa msaada kwao hata kupata chochote kitu bila hivyo mpaka leo wangeendelea kuwa katika miliki ya Uchina.

Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na somo la Wamongol[ Watanganyika] kuwatawala Wazanzibar kwa koti la Tanzania ambalo linaanza kuwabana sasa Watanganyika wao wenyewe baada ya Mzanzibari kutwaa madaraka maana hii haikuzoeleka sasa maumuzi ya kutawaliwa kwa kiasi wanaanza kuyahisi mpaka mwamko wa kudai nchi yao umeanza ndani yao.

Yote haya ni matokeo ya taifa moja kulitawala taifa lingine kwa koti la muungano kama wa Mongol kwa wachina mwisho huwa ni maumivu.

Si ajabu miaka ijayo Tanganyika& Watanganyika kuanza kudai maeneo yao yaliyo potea.
Hakuna uhusiano wowote kati ya China na Mongolia na kati ya Tanzania na Zanzibar.
 
Hakuna uhusiano wowote kati ya China na Mongolia na kati ya Tanzania na Zanzibar.
Zanzibar kwa miaka yote ya muungano imefanywa koloni la Tanganyika aliyejivika koti la muungano.

Mongolia alimvamia China akamtawala China akamuunganisha falme yake akajivika uchina ili amtawale mchina vizuri akapinduliwa Mongolia ikajikuta eneo la China hasara ilioje hii.

Kaja baadhi ya maeneo huku maeneo mengine yakibaki China kwa ujinga wake alioufanya huko nyuma.

Huko ndipo inapoelekea Tanganyika iliyovaa koti la Muungano kwa kuitawala Zanzibar.
 
Zanzibar kwa miaka yote ya muungano imefanywa koloni la Tanganyika aliyejivika koti la muungano.

Mongolia alimvamia China akamtawala China akamuunganisha falme yake akajivika uchina ili amtawale mchina vizuri akapinduliwa Mongolia ikajikuta eneo la China hasara ilioje hii.

Kaja baadhi ya maeneo huku maeneo mengine yakibaki China kwa ujinga wake alioufanya huko nyuma.

Huko ndipo inapoelekea Tanganyika iliyovaa koti la Muungano kwa kuitawala Zanzibar.
Ahahahahaha!!
 
Back
Top Bottom