Crocodiletooth
JF-Expert Member
- Oct 28, 2012
- 20,561
- 24,428
KATIBA mpya na Tume huru ya Uchaguzi kabla ya Uchaguzi wowote ni muhimu sana!!Hakuna haja ya kuyumba kwenye hili. Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar ni nchi. Mengine ni maigizo tu.
Hizo ni chuki zako zisizo na msingi na ujinga wa kuukataa ukweli.ujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
Ukisema tu, mtauboresha, basi mshukuru anayebainisha ubovu huoujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
Kwa Mujibu waa katiba Ya Zanzibar..Kama kweli Zanzibar ni nchi basi wanaosema mtu katoka nchi ya zanzibar wapo sawa. Kama Zanzibar ni sehemu ya Tanzania basi sio nchi na hawana Uhuru wa kuitwa nchi. Zanzibar ingetakiwa kuwa na Governor au Mkuu wa mkoa lakini sio Raisi. Hili ndilo linachanganya watu na kuanza ku punic. Je zanzibar ni kama Puerto Rico ambayo ni sehemu ya USA lakini hawana nguvu kama nchi basi tuweke sawa.
Tatizo tulilonalo kila mtu anajua Zanzibar sio nchi lakini kwa kinafiki tuna kaa na kuita Zanzibar nchi!
Kama wewe unaamini Zanzibar ni nchi basi sio makosa mumuita mtu yeyote kwamba ni Raia wa Zanzibar. Lakini kama hatuamini hivyo basi tubadilishe sheria tuweke mambo sawa
Sasa wewe unasemaje na Tundu Lissu anasemaje..?ujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
Kwanza kabisa Zanzibar ni Nchi kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ibara ya 1 na ya 2Zanzibar sio nchi na hata mafuta yakigunduliwa Pwani ya Zanzibar wasukuma ndio watakua wanayasimamia.
Ili eneo la kijiografia liwe nchi inabidi liwe na hivi vyote kwa pamoja.
Sarafu yake
Wimbo wa taifa
Lugha rasmi,
Court of arms,
Bendera yake,
Itambuliwe na umoja wa mataifa na kuwa na balozi wa kudumu UN.
Lazima kuwe na watu wenye maguvu Kama wasukuma na wakurya.
Hivi huko mbele hawa CCM wakija kuulizwa na wajukuu wao kuhusu ibara ya pili ya katiba ya Zanzibar kuwa hiyo nchi ya pili iliyoungana na nchi ya Zanzibar kutengeneza nchi moja ya Tanzania iko wapi na inaitwaje watajibu nini eti?Kwanza kabisa Zanzibar ni Nchi kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ibara ya 1 na ya 2
View attachment 2977712
Tuje kwenye Mambo uliyotaja..
- Sarafu yake (Hili ni jambo la Muungano ambalo kabla ya 1964 ilikuwa na sarafu yake)
- Wimbo wa Taifa (Zanzibar ina wimbo wa Taifa wake)
- Lugha Rasmi (Lugha ya Kiswahili inayotumika Ni lugha iliyotokana na Lahaja ya Kiunguja Hivyo ni ya zanzibar)
- Cort of Arms "Nembo ya Taifa" hii hapa chini ni ya zanzibar
View attachment 2977714
Bendera yake "Ifuatayo chini ni Bendera ya zanzibar"
View attachment 2977715
Kama una swali lingine Uliza
Hakuna haja ya kuyumba kwenye hili. Kwa mujibu wa Katiba ya Zanzibar, Zanzibar ni nchi. Mengine ni maigizo tu.
Kwanza kabisa Zanzibar ni Nchi kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ibara ya 1 na ya 2
View attachment 2977712
Tuje kwenye Mambo uliyotaja..
- Sarafu yake (Hili ni jambo la Muungano ambalo kabla ya 1964 ilikuwa na sarafu yake)
- Wimbo wa Taifa (Zanzibar ina wimbo wa Taifa wake)
- Lugha Rasmi (Lugha ya Kiswahili inayotumika Ni lugha iliyotokana na Lahaja ya Kiunguja Hivyo ni ya zanzibar)
- Cort of Arms "Nembo ya Taifa" hii hapa chini ni ya zanzibar
View attachment 2977714
Bendera yake "Ifuatayo chini ni Bendera ya zanzibar"
View attachment 2977715
Kama una swali lingine Uliza
Zanzibar ni eneo halali la Tanganyika kama Mafia, we can never let our land goIle ni nchi, tuipe uhuru wake iache kutunyonya, ijitegemee yenyewe. au laa tuungane kiukweli tuwe na Rais mmoja.
Tunaenda kuchakata mbususu mkuuUkweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala msiwabague namuwafahamu wale ni watu wabinafsi na wabaguzi sana na wenye choyo.