Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kero zake: Je, tuuvunje?
ujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
 
Zanzibar sio nchi na hata mafuta yakigunduliwa Pwani ya Zanzibar wasukuma ndio watakua wanayasimamia.
Ili eneo la kijiografia liwe nchi inabidi liwe na hivi vyote kwa pamoja.
Sarafu yake
Wimbo wa taifa
Lugha rasmi,
Court of arms,
Bendera yake,
Itambuliwe na umoja wa mataifa na kuwa na balozi wa kudumu UN.
Lazima kuwe na watu wenye maguvu Kama wasukuma na wakurya.
 
Ungeuliza hivi, Je Tanganyika ni nchi au siyo nchi?

Kwa sababu unayoiulizia, ni nchi!
 
ujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
Hizo ni chuki zako zisizo na msingi na ujinga wa kuukataa ukweli.
 
ujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
Ukisema tu, mtauboresha, basi mshukuru anayebainisha ubovu huo

Kwa mantiki hiyo, wewe ndo mjinga, unakubali hoja ya ubovu wa muungano na kwamba mtauboresha, wakati huohuo unamtukana anayebainisha ubovu wenu?

Ccm kumejaa majiiiinga mpaka kero
 
Kama kweli Zanzibar ni nchi basi wanaosema mtu katoka nchi ya zanzibar wapo sawa. Kama Zanzibar ni sehemu ya Tanzania basi sio nchi na hawana Uhuru wa kuitwa nchi. Zanzibar ingetakiwa kuwa na Governor au Mkuu wa mkoa lakini sio Raisi. Hili ndilo linachanganya watu na kuanza ku punic. Je zanzibar ni kama Puerto Rico ambayo ni sehemu ya USA lakini hawana nguvu kama nchi basi tuweke sawa.

Tatizo tulilonalo kila mtu anajua Zanzibar sio nchi lakini kwa kinafiki tuna kaa na kuita Zanzibar nchi!

Kama wewe unaamini Zanzibar ni nchi basi sio makosa mumuita mtu yeyote kwamba ni Raia wa Zanzibar. Lakini kama hatuamini hivyo basi tubadilishe sheria tuweke mambo sawa
Kwa Mujibu waa katiba Ya Zanzibar..
Zanzibar Ni nchi
 
ujinga wote huu umeanzishwa na jitu moja Jinga sana, TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO YA TANZANIA. Tuondoshe tofauti kama zipo tusonge mbele!, yupo jirani hawaupendi kabisa muungano huu, na lile shenzi ndipo linapojaziwa upepo huko!
""TUMO NDANI YA JAMUHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA, WANA MUUNGANO WATAPANGA NAMNA YA KUUBORESHA ZAIDI "" [HATA KILIMANJARO ILIKUWA DOLA WAKATI FULANI], TUSIRUHUSU MASHETANI YANAYOTAKA KUIVUNJA VUNJA JAMUHURI YETU YA MUUNGANO!
Sasa wewe unasemaje na Tundu Lissu anasemaje..?

Masikini wa akili na ufahamu wewe..

Yaani hata hutambui kuwa wewe na Tundu Lissu mnaona mambo ktk mtazamo mmoja..

Tofauti ya yeye na wewe kimsingi ni moja..

Wewe unadhani kuwa huu muungano ni mali binafsi ya viongozi ya CCM na watoto wao ukisahau kuwa muungano ni mali ya wananchi wote akiwemo Tundu Lissu..

Kama ni mali ya kila mwananchi, basi ni ujinga wa kiwango cha chuo kikuu kufikiri kuwa kasoro hizi za muungano zinaweza kurekebishiwa kwenye korido za CCM - Lumumba..!!

Kasoro za muungano kimsingi ni za kikatiba.

Kurekebishwa kwake ni lazima sisi sote kama taifa kwa umoja wetu tukubaliane upya namna bora ya kuuendeleza muungano huu kwa kutengeneza au kuandika katiba mpya (mkataba mpya kati ya watawala na wananchi) na kueleza kinaga ubaga aina ya muungano tunaokubaliana tuende nao..

Nakuhakikishia jambo moja ndugu Crocodiletooth kuwa, mtajifanya hamsikii wala kuona. Mtajifanya wababe, lakini mwisho wa siku mtakaa chini bila chupi zenu hizi ili tukubaliane ktk kutokukubaliana..!
 
Zanzibar sio nchi na hata mafuta yakigunduliwa Pwani ya Zanzibar wasukuma ndio watakua wanayasimamia.
Ili eneo la kijiografia liwe nchi inabidi liwe na hivi vyote kwa pamoja.
Sarafu yake
Wimbo wa taifa
Lugha rasmi,
Court of arms,
Bendera yake,
Itambuliwe na umoja wa mataifa na kuwa na balozi wa kudumu UN.
Lazima kuwe na watu wenye maguvu Kama wasukuma na wakurya.
Kwanza kabisa Zanzibar ni Nchi kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ibara ya 1 na ya 2
Screenshot_20240430_204954_Adobe Acrobat.jpg


Tuje kwenye Mambo uliyotaja..
  • Sarafu yake (Hili ni jambo la Muungano ambalo kabla ya 1964 ilikuwa na sarafu yake)
  • Wimbo wa Taifa (Zanzibar ina wimbo wa Taifa wake)
  • Lugha Rasmi (Lugha ya Kiswahili inayotumika Ni lugha iliyotokana na Lahaja ya Kiunguja Hivyo ni ya zanzibar)
  • Cort of Arms "Nembo ya Taifa" hii hapa chini ni ya zanzibar

Screenshot_20240430_205503_Adobe Acrobat.jpg



Bendera yake "Ifuatayo chini ni Bendera ya zanzibar"
Screenshot_20240430_205709_Gallery.jpg


Kama una swali lingine Uliza
 
Kwanza kabisa Zanzibar ni Nchi kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ibara ya 1 na ya 2
View attachment 2977712

Tuje kwenye Mambo uliyotaja..
  • Sarafu yake (Hili ni jambo la Muungano ambalo kabla ya 1964 ilikuwa na sarafu yake)
  • Wimbo wa Taifa (Zanzibar ina wimbo wa Taifa wake)
  • Lugha Rasmi (Lugha ya Kiswahili inayotumika Ni lugha iliyotokana na Lahaja ya Kiunguja Hivyo ni ya zanzibar)
  • Cort of Arms "Nembo ya Taifa" hii hapa chini ni ya zanzibar

View attachment 2977714


Bendera yake "Ifuatayo chini ni Bendera ya zanzibar"
View attachment 2977715

Kama una swali lingine Uliza
Hivi huko mbele hawa CCM wakija kuulizwa na wajukuu wao kuhusu ibara ya pili ya katiba ya Zanzibar kuwa hiyo nchi ya pili iliyoungana na nchi ya Zanzibar kutengeneza nchi moja ya Tanzania iko wapi na inaitwaje watajibu nini eti?

Wataendelea kudanganya na kusema uongo tu milele yote?


Ifike wakati huu ujinga na uongo ufike mwisho..!
 
Weee


Kiukweli wapemba ni wabaguzi mno. Wanajifanya watu wa mungu ila hurum na upendo wa Kitanganyika hawana kitu hicho.

Niambie ni mtanganyika gani anaishi ulaya kama mkimbiz? Wapemba wapo. Yaani tunashirikiana lkn muungano unakasoro za aina mbalimbali
 
Kwanza kabisa Zanzibar ni Nchi kwa Mujibu wa Katiba ya Zanzibar Ibara ya 1 na ya 2
View attachment 2977712

Tuje kwenye Mambo uliyotaja..
  • Sarafu yake (Hili ni jambo la Muungano ambalo kabla ya 1964 ilikuwa na sarafu yake)
  • Wimbo wa Taifa (Zanzibar ina wimbo wa Taifa wake)
  • Lugha Rasmi (Lugha ya Kiswahili inayotumika Ni lugha iliyotokana na Lahaja ya Kiunguja Hivyo ni ya zanzibar)
  • Cort of Arms "Nembo ya Taifa" hii hapa chini ni ya zanzibar

View attachment 2977714


Bendera yake "Ifuatayo chini ni Bendera ya zanzibar"
View attachment 2977715

Kama una swali lingine Uliza


Tatizo wanasheria wanasema katiba ya Tanzania ina kinzana na katiba ya Zanzibar? Yaani kwa Ratiba ya Tanzania Zanzibar sio nchi kwasasa lakini iliwahi kuwa nchi
 
wanafwata kazi, wengi wameajiriwa huko kwenye tourism isitoshe >60% ya watalii wanaokuja tanzagiza wanaenda Zanzibar au wanakuja sababu ya zanzibar na unajua contribution ya utalii kwenye economy ya tanzagiza, hivyo kusema tanzagiza haihitaji chochote ktk zanzibar siyo kweli kwanza ni kinyume chake…
 
Ukweli ndio huo
Watanganyika hua mnafuata nini zanzibar?
Mbona sioni sababu ya msingi ya ninyi kwenda huko na sioni mnalofuata huko,
Bakini kwenu mjenge kwenu wale wakija wakaribisheni, wala msiwabague namuwafahamu wale ni watu wabinafsi na wabaguzi sana na wenye choyo.
Tunaenda kuchakata mbususu mkuu
 
Back
Top Bottom